Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kapuya apinga Kiswahili kutumika kufundishia

Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma KapuyaSERIKALI imehadharishwa kutowatenga Watanzania na ulimwengu kwa kutekeleza sehemu ya Sera ya Elimu, inayotaka Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia kutoka shule ya awali mpaka chuo kikuu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Mtembea peku ashinikiza Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia

MJADALA wa lugha ya kuundishia umejadiliwa kwa kirefu katika ngazi zote za elimu na taasisi zake, wataalamu wa lugha, wahadhiri na walimu katika ngazi ya msingi na sekondari wanajadili na mwafaka haujapatikana.

Richard Ricardo maarufu Father Pekupeku kutokana na tabia yake ya kutovaa viatu naye anaishawishi serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iridhie Kiswaili kuwa lugha ya kufundishia kama yalivyo mataifa mengine yanavyotumia lugha zao za taifa katika elimu.

Huyu...

 

5 years ago

Michuzi

Wahadhiri 21 Wapatiwa Mafunzo ya Stadi za Kufundishia Kiswahili kwa Wageni


Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akisisitiza kuwasilisha orodha ya majina ya wataalamu wa kufundisha Kiswahili kwa wageni kwa Waziri wa Mambo ya nje kwa lengo la kusambazwa katika balozi mbalimbali Tanzania nje ya nchi leo Jijini Dodoma alipokuwa akifungua mafunzo ya kuimarisha stadi za kufundishaKiswahili kwa wageni kwa wahadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma yaliyoratibiwa na Baraza la Kiswahili Tanzania.Kaimu Katibu Mtendaji Baraza la ...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Tanzania Daima

Denti wa Kapuya atinga Marekani

WAKATI polisi wakiendelea kukalia jalada la Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), anayetuhumiwa kubaka na kutishia kuua binti wa miaka 16, sasa suala hilo limefikishwa katika ubalozi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa ya Kapuya yaibuka upya

TUHUMA za ubakaji zinazomkabili Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya, zimeibuka upya baada ya baadhi ya wananchi wa jimbo lake kumtaka ajitokeze hadharani kutoa kauli juu ya kashfa hiyo....

 

9 years ago

Habarileo

Kapuya, Kagasheki na Zambi watupwa nje

WAZIRI katika Serikali ya Awamu ya Nne, Godfrey Zambi pamoja na waliokuwa mawaziri katika Serikali hiyo, Profesa Juma Kapuya na Balozi Khamis Kagasheki ni miongoni mwa wabunge waliotupwa nje katika matokeo ya ubunge yanayoendelea kutolewa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jumapili wiki hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Kapuya, Misanga wampiga vijembe Sitta

 Utani wa Simba na Yanga ni sehemu ya kukumbukwa na Watanzania katika shughuli za Bunge Maalumu la Katiba linalotarajiwa kumalizika siku chache zijazo.

 

10 years ago

Michuzi

uzinduzi wa kitabu kipya na yassini a.kapuya

Yassini A Kapuya Business Consultant, Author na mmliki wa  TBX Entrepreneurs Magazine Kuzindua kitabu chake cha Tatu.. Ni jinsi gani ya kuwa bingwa katika mauzo.  Ameandika kutokana na ujuzi ulio mpatia tuzo za mauzo bora  nyingi tu Marekani. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani