Kapuya apinga Kiswahili kutumika kufundishia
SERIKALI imehadharishwa kutowatenga Watanzania na ulimwengu kwa kutekeleza sehemu ya Sera ya Elimu, inayotaka Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia kutoka shule ya awali mpaka chuo kikuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Mtembea peku ashinikiza Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia
MJADALA wa lugha ya kuundishia umejadiliwa kwa kirefu katika ngazi zote za elimu na taasisi zake, wataalamu wa lugha, wahadhiri na walimu katika ngazi ya msingi na sekondari wanajadili na mwafaka haujapatikana.
Richard Ricardo maarufu Father Pekupeku kutokana na tabia yake ya kutovaa viatu naye anaishawishi serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iridhie Kiswaili kuwa lugha ya kufundishia kama yalivyo mataifa mengine yanavyotumia lugha zao za taifa katika elimu.
Huyu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wy00IAR6xCs/XmoxnvJyCII/AAAAAAALix0/VIVl9wfpUkU6_yofGOKluW7DbTa5NG7tQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4.jpg)
Wahadhiri 21 Wapatiwa Mafunzo ya Stadi za Kufundishia Kiswahili kwa Wageni
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wy00IAR6xCs/XmoxnvJyCII/AAAAAAALix0/VIVl9wfpUkU6_yofGOKluW7DbTa5NG7tQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akisisitiza kuwasilisha orodha ya majina ya wataalamu wa kufundisha Kiswahili kwa wageni kwa Waziri wa Mambo ya nje kwa lengo la kusambazwa katika balozi mbalimbali Tanzania nje ya nchi leo Jijini Dodoma alipokuwa akifungua mafunzo ya kuimarisha stadi za kufundishaKiswahili kwa wageni kwa wahadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma yaliyoratibiwa na Baraza la Kiswahili Tanzania.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2AAA-1024x682.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Denti wa Kapuya atinga Marekani
WAKATI polisi wakiendelea kukalia jalada la Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), anayetuhumiwa kubaka na kutishia kuua binti wa miaka 16, sasa suala hilo limefikishwa katika ubalozi wa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Kashfa ya Kapuya yaibuka upya
TUHUMA za ubakaji zinazomkabili Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya, zimeibuka upya baada ya baadhi ya wananchi wa jimbo lake kumtaka ajitokeze hadharani kutoa kauli juu ya kashfa hiyo....
9 years ago
Habarileo28 Oct
Kapuya, Kagasheki na Zambi watupwa nje
WAZIRI katika Serikali ya Awamu ya Nne, Godfrey Zambi pamoja na waliokuwa mawaziri katika Serikali hiyo, Profesa Juma Kapuya na Balozi Khamis Kagasheki ni miongoni mwa wabunge waliotupwa nje katika matokeo ya ubunge yanayoendelea kutolewa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jumapili wiki hii.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_m0K8sQA1mE/VXkbncfpWFI/AAAAAAAHekg/3gwO-BQ428w/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-06-10%2Bat%2B12.21.24%2BPM.png)
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kapuya, Misanga wampiga vijembe Sitta
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Sm_qIu53yq8/VZ2PHRZQPvI/AAAAAAAHn5g/1NIED0z7uiQ/s72-c/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
uzinduzi wa kitabu kipya na yassini a.kapuya
![](http://3.bp.blogspot.com/-Sm_qIu53yq8/VZ2PHRZQPvI/AAAAAAAHn5g/1NIED0z7uiQ/s640/unnamed%2B%252899%2529.jpg)