Ruzuku ‘kiduchu’ zinaua elimu vyuo vya umma
>Taasisi mojawapo ya elimu nchini, ilipotaka kufanya ujenzi wa majengo kwa ajili ya maendeleo ya chuo hicho ambacho kinamilikiwa na serikali, ilituma mapendekezo na maombi ya ruzuku kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo ambao kimsingi kilikubaliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Wahadhiri wa vyuo vya umma wagoma Kenya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s72-c/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s640/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndugu Gerald M. Kusaya anawatangazia wanachuo na wakufunzi kuwa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATI) vimefunguliwa rasmi tarehe 01 Juni, 2020 kufuatia agizo la Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli alilotoa tarehe 21 Mei, 2020.
Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...
10 years ago
GPLMAGUFULI APONGEZWA NA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0BjELxHWj8/VaaGa8wjXiI/AAAAAAAHp9I/ShupN7SWrVk/s72-c/1.jpg)
TAMKO LA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA-CCM
SHIRIKISHO la Taifa tunawapongeza wajumbe wote wa vikao vyote vya maamuzi ndani ya chama chetu kwa kutenda haki na kumteua mgombea safi, muadilifu, mchapa kazi, mzalendo, ambaye hakuwa na kundi na hadi kwa sasa hana kundi, mwenye dhamira ya dhati na utashi wa kudumisha umoja na mshikamano ndani na nje ya chama chetu.
Shirikisho Taifa tunapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza Mheshimiwa Daktari John Pombe Magufuli na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kuteuliwa kuwa wapeperusha bendera ya CCM...
10 years ago
Dewji Blog08 Mar
Kinana akutana na wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-tKCtwqBu-ug/VPqyUBcgFZI/AAAAAAAAXoc/XbLMiu6HT4Y/s1600/01.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa nje ya ukumbi wa NEC maarufu kama white house mjini Dodoma tayari kwa kukutana na wanafunzi wa Shirikisho la vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2w7yDlX-CxE/VPqyTtCMxwI/AAAAAAAAXoU/TJJTK4chPNg/s1600/02.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma kabla ya kuingia kwenye mkutano kwenye ukumbi wa mikutano wa NEC maarufu kama White House,CCM makao makuu Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-nf8GXGUwSUc/VPqyYzqkY9I/AAAAAAAAXpc/6lHKe9NTNCM/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Michuzi23 Oct