SHOPPING YA MTOTO WA DIAMOND KUFURU!
![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOgF-*3tnGrVHl5d2su10qU-cIRCgbyM4kMwycEFXn5iDWwZk-nj6j3pcuv4dp0aDELLFlsJjdE0o00faRryVYiR/1.jpg?width=650)
musa mateja KAMA ulishawahi kusikia neno kufuru na ukajua maana yake, basi ndiyo imefanywa na Mwanamuziki Bora wa Afrika Mashariki na Kati, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, baada ya kuteketeza mamilioni ya fedha kwa ajili ya kufanya ‘shopping’ ya nguo na vifaa mbalimbali vitakavyotumiwa na mwanaye ikiwa ni siku chache kabla mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari The Boss Lady’ kujifungua. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXInZlnLFvGRa1DdeT6mZFl3wccTYLSAI-e61UukTYCNiCpT0Jk4Olb2pYdRJ*ne5Kp756Bw4*hrn41qEt6voKZw/diamond.gif?width=650)
DIAMOND AFANYIWA KUFURU NIGERIA
Musa Mateja Na Andrew Carlos
Pasua anga! Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefanyiwa kufuru ya bonge la pati na msanii mwenzake kutoka nchini Nigeria, Kingsley Chinweike Okonkwo ‘KCEE’ Ijumaa Wikienda lina ubuyu kamili. Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilichosafiri na staa huyo ambaye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPtP8jFzi7JSeMkkbbqhKP08P4iekyg6tblrwThI*VK1DqEn6470LXUgrPKk8NGExiP4eIJZuocvyHSw6TNG9dOB/DIAMOND26.jpg?width=650)
DIAMOND AONYESHA KUFURU YA FEDHA BETHIDEI YA MAMA YAKE
Mama Diamond Bi Sanura akimlisha keki 'mkwewe' Wema Sepetu katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika jana. Keki iliyotolewa oda na Diamond iliyoandikwa ujumbe wake maalum.…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DIAMOND-TIFFAHS-40-1.jpg)
TASWIRA ZA 40 YA MTOTO WA DIAMOND
Maandalizi yakiwa yamepamba moto nyumbani kwa Diamond, Madale jijini Dar.
Wanafunzi wa Madrasa nao wapo kwa ajili ya 40 ya Tiffah. …
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dU2ULZdzz-jV5KI3PnZes4d81IXEz9TOCxTxPFbRjxeFkKra5BtmnYUix90oSsoyNqhsiP8OvOSK2JvitavY9dl/FRONTRISASIJMOSI.gif?width=650)
TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND
Mwandishi wetu Kazi ipo! Siku chache baada ya kuliona jua, mtoto wa kike ‘baby girl’ wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah a.k.a Princess Tiffah anazidi kuwa gumzo. ...Soma zaidi===>http://goo.gl/VD59sx
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dUexCUa4TrLIoWtDtR-6wzVRlO*BIGZH8ZDedyKa-dpuGBbBy4lD36a0F2lRUMApDeScxrl0OLCI*U*K2VA3t6o/Tiffah..jpg)
MTOTO SASA AMZUZUA DIAMOND
Kitendo cha kujaaliwa kupata mtoto wa kike, kimeonekana kumzuzua mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambapo sasa anadaiwa kushinda kutwa nzima chumbani akipiga picha za kuposti mitandaoni.Chanzo makini ambacho ni ndugu wa Diamond kimeeleza kuwa, tangu jamaa huyo aitwe Baba Tiffah, amekuwa akitumia muda mwingi na mwanaye huyo kiasi kwamba amepunguza hata kasi ya kufanya muziki na kutokula.  ...Soma...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YKlX7Itxquljpl8u4wD0hut9p7RIra7Sh4Qp*gEUlPZBDIoCyoai5sfaBVRmhVniMKdcdrFrYp143HdhBk37U6MqFSi9okY0/diamond.gif)
DIAMOND, MTOTO WAZUA GUMZO
Mwandishi wetu GUMZO! Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtoto wa dada yake Esma, Taraj wamezua gumzo la aina yake baada picha yao kutupiwa mtandaoni na watu kudhani ni yule Tiffah wa Diamond ambaye hajawahi kuonekana sura. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Esma kuiweka picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala kitandani na Tahaj ndipo watu walipofikiri ni ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mzeMxU3DqnEKQTmn2HIn*MhMezyTW*o1HlzUo4J5O2FET-QqnuLkiD3FsGGU4*K14i*OvCdnSbFIKqprmvRWWud/frontJUMAMOSI.gif?width=650)
UTATA MPYA MTOTO WA DIAMOND
MUSA MATEJA
Utata mpya umeibuka wakati mama kijacho wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, akitarajiwa kujifungua muda wowote kutoka sasa, ishu ni juu ya uraia wa mtoto atakayezaliwa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JkKOp8
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAIPHjstx0IFZ7ktdt4TautXAw4ZNN6AC2fn2j-dQnaVpq4GbgCMLdSYGvRqIQAWXPJB9gtZCK6fhdkoayqUIAEF/zari.gif?width=650)
MTOTO WA DIAMOND, VISA VYAANZA
Shani Ramadhani VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1P0lrbZ ...
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mtoto wa Diamond azua jambo!
![MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO.jpg)
VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania