DIAMOND AFANYIWA KUFURU NIGERIA
![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXInZlnLFvGRa1DdeT6mZFl3wccTYLSAI-e61UukTYCNiCpT0Jk4Olb2pYdRJ*ne5Kp756Bw4*hrn41qEt6voKZw/diamond.gif?width=650)
Musa Mateja Na Andrew Carlos Pasua anga! Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefanyiwa kufuru ya bonge la pati na msanii mwenzake kutoka nchini Nigeria, Kingsley Chinweike Okonkwo ‘KCEE’ Ijumaa Wikienda lina ubuyu kamili. Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilichosafiri na staa huyo ambaye...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOgF-*3tnGrVHl5d2su10qU-cIRCgbyM4kMwycEFXn5iDWwZk-nj6j3pcuv4dp0aDELLFlsJjdE0o00faRryVYiR/1.jpg?width=650)
SHOPPING YA MTOTO WA DIAMOND KUFURU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPtP8jFzi7JSeMkkbbqhKP08P4iekyg6tblrwThI*VK1DqEn6470LXUgrPKk8NGExiP4eIJZuocvyHSw6TNG9dOB/DIAMOND26.jpg?width=650)
DIAMOND AONYESHA KUFURU YA FEDHA BETHIDEI YA MAMA YAKE
10 years ago
Bongo503 Jan
Diamond: Next stop NIGERIA #GloCAF_AWARDS
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Diamond kufanya video Nigeria
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ ameondoka nchini juzi usiku kwenda Nigeria kwa ajili ya kufanya video ya ngoma yake mpya ambayo hakutaka kuitaja jina. Katika...
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Mganda amshinda Diamond tuzo ya Nigeria
NEW YORK, MAREKANI
ALIYEKUWA mshindani mkubwa wa mkali wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, msanii kutoka Uganda, Eddie Kenzo, ndiye aliyeibuka mshindi katika tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) kipengele cha ‘African Artist of The Year’ walichokuwa wakishindania.
Mganda huyo alishinda tuzo hiyo katika kipengele hicho maalumu kwa wasanii wasio Wanigeria, Septemba 6 huko New York, Marekani ambapo tuzo hizo zilitolewa.
Licha ya Diamond kuwania...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pc6BPIjaF10/VCw9KlwsDRI/AAAAAAAAqSo/JzK-dJ913ik/s72-c/PLATINUM56.jpg)
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pc6BPIjaF10/VCw9KlwsDRI/AAAAAAAAqSo/JzK-dJ913ik/s640/PLATINUM56.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CAo4F8KRl5g/VCw9HEWDRJI/AAAAAAAAqSY/jYY1mtktsQc/s640/headies-2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HPvsEAtb8H4/VCw9HWzJZQI/AAAAAAAAqSc/4ZNzm7l1xIQ/s1600/headies.jpg)
10 years ago
GPLDIAMOND ALAMBA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA
10 years ago
CloudsFM08 Dec
DIAMOND ANYAKUA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014.
Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond aliandika ujumbe huu: "Thanks God, we have cheated another one on the...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OhtEB7mGo6I/VIVN-war4wI/AAAAAAAG15s/iz6kv6XfHsQ/s72-c/diamond21%2B(1).jpg)
Diamond Platnumz alamba tuzo nyingine huko Nigeria
![](http://2.bp.blogspot.com/-OhtEB7mGo6I/VIVN-war4wI/AAAAAAAG15s/iz6kv6XfHsQ/s1600/diamond21%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n8Oa1thY_0k/VIVJ8sjCoLI/AAAAAAAG15U/zRZiNAbCLbQ/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-08%2Bat%2B9.47.17%2BAM.png)