DIAMOND ALAMBA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014. Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Dec
DIAMOND ALAMBA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA-GPL
Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond aliandika ujumbe huu: "Thanks God, we have cheated another one on the...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OhtEB7mGo6I/VIVN-war4wI/AAAAAAAG15s/iz6kv6XfHsQ/s72-c/diamond21%2B(1).jpg)
Diamond Platnumz alamba tuzo nyingine huko Nigeria
![](http://2.bp.blogspot.com/-OhtEB7mGo6I/VIVN-war4wI/AAAAAAAG15s/iz6kv6XfHsQ/s1600/diamond21%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n8Oa1thY_0k/VIVJ8sjCoLI/AAAAAAAG15U/zRZiNAbCLbQ/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-08%2Bat%2B9.47.17%2BAM.png)
10 years ago
CloudsFM08 Dec
DIAMOND ANYAKUA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014.
Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond aliandika ujumbe huu: "Thanks God, we have cheated another one on the...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pc6BPIjaF10/VCw9KlwsDRI/AAAAAAAAqSo/JzK-dJ913ik/s72-c/PLATINUM56.jpg)
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pc6BPIjaF10/VCw9KlwsDRI/AAAAAAAAqSo/JzK-dJ913ik/s640/PLATINUM56.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CAo4F8KRl5g/VCw9HEWDRJI/AAAAAAAAqSY/jYY1mtktsQc/s640/headies-2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HPvsEAtb8H4/VCw9HWzJZQI/AAAAAAAAqSc/4ZNzm7l1xIQ/s1600/headies.jpg)
10 years ago
Bongo508 Dec
Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
10 years ago
Bongo515 Aug
Diamond Platnumz ashinda tuzo nyingine nchini Burundi
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Jina la Diamond Platnumz kwenye list ya washindi wa Tuzo nyingine Nigeria mapema kabisa 2016..
2016 mwaka mwingine unaoanza vizuri kwa muziki wa Bongofleva wenye mizizi yake Tanzania ambapo usiku wa January 01 2016 zimetolewa Tuzo za HEADIES Awards ndani ya Lagos Nigeria. List kamili ya washindi imetoka ambapo kati yao staa wa muziki anayewakilisha Bongo 255, Diamond Platnumznae yumo… Tuzo hizi zinawahusu mastaa wa Nigeria lakini kuna category moja […]
The post Jina la Diamond Platnumz kwenye list ya washindi wa Tuzo nyingine Nigeria mapema kabisa 2016.. appeared first on...