Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond: Next stop NIGERIA #GloCAF_AWARDS

Baada ya kuujaza uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda na kuwapagawisha watoto wa Kagame siku ya Mwaka mpya, star wa Bongo, Diamond Platnumz anatarajia kutua kwenye ardhi ya kina Davido na Wizkid wiki ijayo. Diamond ameweka wazi ratiba yake ya show zinazokuja ikiwemo moja ya Nigeria kwenye tuzo za ‘2014 Glo-CAF Awards’. “Thank you KIGALI / […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ZARI AWAPIGA ‘STOP’ NDUGU WA DIAMOND!

Imelda Mtema Stop! Wakati akisubiriwa kujifungua muda wowote, mwandani wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anadaiwa kuwazuia baadhi ya ndugu wa jamaa huyo kuingia kwenye chumba maalum kilichoandaliwa ili kuepuka kisiingie vumbi na kiwe safi wakati wote. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1hezjVm ...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Zimbabwe - Stop It Tanzania! Stop Provoking Us


IPPmedia
Zimbabwe - Stop It Tanzania! Stop Provoking Us
AllAfrica.com
Tanzania, please stop it. As our good first lady Dr Amai Soon-to-be-Professor Grace Mugabe says - please STOP IT!!! Stop trying to provoke us! From the time that your President, Dr John Pombe Magufuli (JPM), 55, was elected into office on October 25 ...
Can Magufuli convert potential into gains in Tanzania?NewsDay
Uncovered rot a sign of institutional failureIPPmedia
Be thankful you are not in Malawi Dr Magufuli, President of...

 

9 years ago

New Zimbabwe.Com

Stop it, Tanzania! Stop provoking Zim


New Zimbabwe.com
Stop it, Tanzania! Stop provoking Zim
New Zimbabwe.com
TANZANIA, please stop it. As our good first lady Dr Amai Soon-to-be-Professor Grace Mugabe says - please STOP IT!!! Stop trying to provoke us! From the time that your President, Dr John Pombe Magufuli (JPM), 55, was elected into office on October 25, ...
Lessons from a spider web: Why Obama wishes he was Magufuli right nowMail & Guardian Africa
Time for business sector to create robust partnership with govtIPPmedia

all 6

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond kufanya video Nigeria

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ ameondoka nchini juzi usiku kwenda Nigeria kwa ajili ya kufanya video ya ngoma yake mpya ambayo hakutaka kuitaja jina. Katika...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AFANYIWA KUFURU NIGERIA

Musa Mateja Na Andrew Carlos
Pasua anga! Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefanyiwa kufuru ya bonge la pati na msanii mwenzake kutoka nchini Nigeria, Kingsley Chinweike Okonkwo ‘KCEE’ Ijumaa Wikienda lina ubuyu kamili. Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilichosafiri na staa huyo ambaye...

 

9 years ago

Mtanzania

Mganda amshinda Diamond tuzo ya Nigeria

NEW kenzoYORK, MAREKANI

ALIYEKUWA mshindani mkubwa wa mkali wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, msanii kutoka Uganda, Eddie Kenzo, ndiye aliyeibuka mshindi katika tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) kipengele cha ‘African Artist of The Year’ walichokuwa wakishindania.

Mganda huyo alishinda tuzo hiyo katika kipengele hicho maalumu kwa wasanii wasio Wanigeria, Septemba 6 huko New York, Marekani ambapo tuzo hizo zilitolewa.

Licha ya Diamond kuwania...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ALAMBA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014. Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond...

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND ANYAKUA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014.
Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond aliandika ujumbe huu: "Thanks God, we have cheated another one on the...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA

Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine za kimataifa zinazofahamika kama ‘THE HEADIES 2014’, ambazo ni tuzo kubwa nchini Nigeria. Nasib Abdul ametajwa kuwania kipengele cha Msanii Bora wa Afrika (Best African Arstist) ambacho kinawaniwa na wasanii wa nje ya Nigeria. Katika kipengele hicho anashindana na Mafikizolo, Sarkodie na R2Bees.CREDIT:THECHOICE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani