MTOTO SASA AMZUZUA DIAMOND
![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dUexCUa4TrLIoWtDtR-6wzVRlO*BIGZH8ZDedyKa-dpuGBbBy4lD36a0F2lRUMApDeScxrl0OLCI*U*K2VA3t6o/Tiffah..jpg)
Kitendo cha kujaaliwa kupata mtoto wa kike, kimeonekana kumzuzua mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambapo sasa anadaiwa kushinda kutwa nzima chumbani akipiga picha za kuposti mitandaoni.Chanzo makini ambacho ni ndugu wa Diamond kimeeleza kuwa, tangu jamaa huyo aitwe Baba Tiffah, amekuwa akitumia muda mwingi na mwanaye huyo kiasi kwamba amepunguza hata kasi ya kufanya muziki na kutokula.  ...Soma...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NyNwbpBkWrE/VTlHfNif5FI/AAAAAAADjz8/vJHh1eD7x20/s72-c/4d800d303f2df1024815a9cccc53e538.jpg)
HAPO SASA UNAVYOMWACHA MTOTO WAKO NA BABYSITTY
![](http://1.bp.blogspot.com/-NyNwbpBkWrE/VTlHfNif5FI/AAAAAAADjz8/vJHh1eD7x20/s1600/4d800d303f2df1024815a9cccc53e538.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Baada ya Diamond, sasa Idris
Ndani ya wiki mbili tasnia ya burudani katika Tanzania imepata nafasi ya kujitutumua hivi. Wakati wiki moja imepita tangu msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DIAMOND-TIFFAHS-40-1.jpg)
TASWIRA ZA 40 YA MTOTO WA DIAMOND
Maandalizi yakiwa yamepamba moto nyumbani kwa Diamond, Madale jijini Dar.
Wanafunzi wa Madrasa nao wapo kwa ajili ya 40 ya Tiffah. …
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dU2ULZdzz-jV5KI3PnZes4d81IXEz9TOCxTxPFbRjxeFkKra5BtmnYUix90oSsoyNqhsiP8OvOSK2JvitavY9dl/FRONTRISASIJMOSI.gif?width=650)
TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND
Mwandishi wetu Kazi ipo! Siku chache baada ya kuliona jua, mtoto wa kike ‘baby girl’ wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah a.k.a Princess Tiffah anazidi kuwa gumzo. ...Soma zaidi===>http://goo.gl/VD59sx
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mtoto wa Diamond azua jambo!
![MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO.jpg)
VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mzeMxU3DqnEKQTmn2HIn*MhMezyTW*o1HlzUo4J5O2FET-QqnuLkiD3FsGGU4*K14i*OvCdnSbFIKqprmvRWWud/frontJUMAMOSI.gif?width=650)
UTATA MPYA MTOTO WA DIAMOND
MUSA MATEJA
Utata mpya umeibuka wakati mama kijacho wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, akitarajiwa kujifungua muda wowote kutoka sasa, ishu ni juu ya uraia wa mtoto atakayezaliwa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JkKOp8
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAIPHjstx0IFZ7ktdt4TautXAw4ZNN6AC2fn2j-dQnaVpq4GbgCMLdSYGvRqIQAWXPJB9gtZCK6fhdkoayqUIAEF/zari.gif?width=650)
MTOTO WA DIAMOND, VISA VYAANZA
Shani Ramadhani VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1P0lrbZ ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YKlX7Itxquljpl8u4wD0hut9p7RIra7Sh4Qp*gEUlPZBDIoCyoai5sfaBVRmhVniMKdcdrFrYp143HdhBk37U6MqFSi9okY0/diamond.gif)
DIAMOND, MTOTO WAZUA GUMZO
Mwandishi wetu GUMZO! Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtoto wa dada yake Esma, Taraj wamezua gumzo la aina yake baada picha yao kutupiwa mtandaoni na watu kudhani ni yule Tiffah wa Diamond ambaye hajawahi kuonekana sura. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Esma kuiweka picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala kitandani na Tahaj ndipo watu walipofikiri ni ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania