Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA 40 YA MTOTO WA DIAMOND

Maandalizi yakiwa yamepamba moto nyumbani kwa Diamond, Madale jijini Dar.



Wanafunzi wa Madrasa nao wapo kwa ajili ya 40 ya Tiffah. …

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA ZARI NA DIAMOND WALIVYOJIACHIA VISIWANI ZANZIBAR

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond' akijiachia na mpenzi wake Zarinah Hassan 'The Boss Lady' Visiwani Zanzibar. Diamond akilibusu tumbo la mpenzi wake Zari ambaye ni mjamzito.…

 

11 years ago

Michuzi

taswira za jinsi diamond alivyoiteka mwanza katika show yake wikiendi hii

  Palikuwa hapatoshi aisee..   Pichani ni binti ambaye alishindwa kujizuia na kuamua kwenda kumsalimia Rais wa Wasafi jijini Mwanza. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

GPL

TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND

Mwandishi wetu Kazi ipo! Siku chache baada ya kuliona jua, mtoto wa kike ‘baby girl’ wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah a.k.a Princess Tiffah anazidi kuwa gumzo. ...Soma zaidi===>http://goo.gl/VD59sx

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA DIAMOND, VISA VYAANZA

Shani Ramadhani VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1P0lrbZ ...

 

10 years ago

GPL

UTATA MPYA MTOTO WA DIAMOND

MUSA MATEJA Utata mpya umeibuka wakati mama kijacho wa staa wa Bongo Fleva,  Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’,  akitarajiwa kujifungua muda wowote kutoka sasa, ishu ni juu ya uraia wa mtoto atakayezaliwa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JkKOp8

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, MTOTO WAZUA GUMZO

Mwandishi wetu GUMZO! Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtoto wa dada yake Esma, Taraj wamezua gumzo la aina yake baada picha yao kutupiwa mtandaoni na watu kudhani ni yule Tiffah wa Diamond ambaye hajawahi kuonekana sura. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Esma kuiweka picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala kitandani na Tahaj ndipo watu walipofikiri ni ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto wa Diamond azua jambo!

MAMA-DIAMOND-NA-MTOTOShani Ramadhani

VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...

 

10 years ago

GPL

SHOPPING YA MTOTO WA DIAMOND KUFURU!

musa mateja KAMA ulishawahi kusikia neno kufuru na ukajua maana yake, basi ndiyo imefanywa na Mwanamuziki Bora wa Afrika Mashariki na Kati, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, baada ya kuteketeza mamilioni ya fedha kwa ajili ya kufanya ‘shopping’ ya nguo na vifaa mbalimbali vitakavyotumiwa na mwanaye ikiwa ni siku chache kabla mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari The Boss Lady’ kujifungua. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani