Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA DIAMOND, VISA VYAANZA

Shani Ramadhani VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1P0lrbZ ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.

Meninahhabari mpya zinasema kuwa vikao vya harusi ya Diamond na Meninah ambaye ni mwanamuziki wa Bongo fleva vimeanza kimya kimya nyumbani kwa mama Diamond huku mmoja wa wahudhuriaji wakiwa ni mama Diamond mwenyewe na Queen Darling ambaye ni dada wa Diamond.Kwa mujibu wa Baabkubwa magazine paparazzi wake alienda nyumbani kwa Diamond hivi juzi kati kufanya nae mahojiano hata hivyo hakumkuta Diamond lakini alimkuta mmoja wa watu wake wa karibu ambaye yupo pia upande wa Wema Sepetu.Chanzo...

 

9 years ago

TheCitizen

Card issuer Visa Inc buys Visa Europe in 21-bn-euro deal

US credit card issuer Visa Inc. said yesterday it is buying back its former subsidiary Visa Europe in a 21.2-billion-euro ($23.5-billion) deal identifying increased scale and efficiencies.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa

Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo

 

5 years ago

The Points Guy

Credit card showdown: Alaska Airlines Visa Signature vs. Alaska Airlines Business Visa

Credit card showdown: Alaska Airlines Visa Signature vs. Alaska Airlines Business Visa  The Points GuyShould you open a store credit card?  Fox BusinessHow to Stay Organized When You Have Multiple Credit Cards  NerdWalletHow to clean your credit cards  The Points GuyFirst-time credit card user? Here's what should you be aware of  Fox BusinessView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mtanzania

Vikumbo vyaanza jimbo la Ukonga

Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitengo cha kompyuta, Anthony Karokola, ametangaza nia yake ya kugombea ubunge Ukonga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) .
Aliwaambia waandishi wa habari ni kwa jinsi gani anavyosukumwa na maendeleo ya wana Ukonga na kutaka kuendeleza alipoishia marehemu Eugine Mwaiposa.
“Nitamuenzi mama Mwaiposa kwa kufuata nyayo zake na kufuata mazuri yote aliyoyafanya na aliyotaka kuyafanya nitayatekeleza,” alisema Karokola.
Alisema...

 

9 years ago

Mwananchi

Vifaa vya uchaguzi vyaanza kusambazwa

Vifaa vya maandalizi ya kupigia kura vyenye thamani ya Sh41.6 bilioni, vimewasili nchini na kuanza kusambazwa kwenye mikoa mbalimbali, huku karatasi za kupigia kura zikitarajiwa kuwasili mwishoni mwa mwezi huu.

 

9 years ago

GPL

TASWIRA ZA 40 YA MTOTO WA DIAMOND

Maandalizi yakiwa yamepamba moto nyumbani kwa Diamond, Madale jijini Dar.



Wanafunzi wa Madrasa nao wapo kwa ajili ya 40 ya Tiffah. …

 

9 years ago

GPL

TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND

Mwandishi wetu Kazi ipo! Siku chache baada ya kuliona jua, mtoto wa kike ‘baby girl’ wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah a.k.a Princess Tiffah anazidi kuwa gumzo. ...Soma zaidi===>http://goo.gl/VD59sx

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani