Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aveva kufuru

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC. Omary Mdose na Said Ally
KAZI imeanza babake! Wakati Yanga wakiwa bize na mazoezi baada ya ujio wa Kocha Marcio Maximo, upande wa pili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, naye ameanza kuonyesha makali kwa vitendo. Aveva ambaye amechukua madaraka hivi karibuni, ameanza kwa kulipa mishahara ya wachezaji wote wa timu hiyo na benchi la ufundi,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!

Stori: Shakoor Jongo
UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo,  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake. HABARI MEZANI
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti...

 

11 years ago

GPL

MAHEKALU YA MAASKOFU KUFURU

Stori: Jelard Lucas na Makongoro Oging’
MTU akifanya jambo la kupita kawaida lakini zuri watu husema ‘amekufuru’, yaani amefanya kitu kizuri! Imezoeleka hivyo. Sasa kauli hiyo imekuja baada ya Uwazi kufanya uchunguzi wa kina na kuyabaini mahekalu ya maaskofu wa Bongo kwamba nayo ni kufuru! Katika uchunguzi huo, Uwazi lilitumia muda wa wiki mbili na kubaini kwamba, watumishi hao wa Mungu wapo vizuri na lile...

 

9 years ago

GPL

BETHIDEI YA WEMA KUFURU!

Mkurugenzi  wa Endless Fame Wema Sepetu akiwa amesimama mbele ya meza iliyokuwa imesheheni keki alizokuwa amendaliwa katika sherehe ya kuadhimisha   siku yake ya kuzaliwa iliyofanyikia ndani ya Ukumbi wa Wema Sepetu Hall, uliyopo ndani ya jengo jipya la Millenium Tower. Meneja wa Wema (kushoto), Martin Kadinda, akimsaidia kukata moja ya  keki zilizokuwa zimeandaliwa muda mfupi kabla ya kuanza kuwalisha ndungu jamaa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mshahara wa Messi kufuru

Manchester, England, Si mchezo! Ndivyo, inavyofaa kueleza mshahara wa Sh2.6 bilioni atakaolipwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi endapo ataamua kutua Manchester City.

 

11 years ago

TheCitizen

It’s Aveva vs Tupa for presidency

Evans Aveva, a key member of Friends of Simba, goes head to head with Andrew Tupa in the battle for the Msimbazi Street club’s presidency at Oysterbay Police Officers Mess today.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni Tupa au Aveva leo

Wanachama wa Simba leo watapata fursa ya kuchagua viongozi wao wapya katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Aveva historia Simba

Na Waandishi Wetu
SIMBA imeweka historia ya kuwa na kiongozi wa kwanza wa juu ambaye atakuwa akitambulika kwa cheo cha rais na siyo mwenyekiti tena kama ilivyokuwa awali, hiyo ni baada ya Evans Aveva kushinda kwa kishindo katika nafasi hiyo kwenye Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo, jana. Aveva amepata ushindi katika uchaguzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiwania nafasi hiyo na...

 

11 years ago

TheCitizen

Aveva: My vision for Simba SC

One of Simba Sports Club’s presidential candidates, Evans Aveva has said that he will turn the club into a winning outfit locally and internationally if elected.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi wafanya kufuru Bukombe

>Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kimevamiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za kivita pamoja na mabomu, na kuwaua askari polisi wawili na wengine wawili kujeruhiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani