Duara la Utajiri
Niliwaza kwa nini mtu kama Eric anamtaja Mungu. Akili yangu daima nilijua kuwa hakuna tajiri katika ulimwengu huu aliupata kwa kumtumaini Mungu na kumwamini maana ndiye chanzo cha mafanikio ya mwanadamu. Usiku ule sikusumbuka sana kwani macho na masikio yangu vilimwona na kumsikia Eric ambaye sasa niliishi naye chumbani mwangu kupitia santuri. Hata hivyo moyo wangu ulihitaji guso halisi la Eric. Uzito wa upweke na kukiona kitanda ilikuwa ni tabia ambayo ilienea baada ya kupokea barua za...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Meza ya Duara, Mada kilichojiri mkutono wa Ccm Jangwani kumtambulisha Dr Makufuli
The post Meza ya Duara, Mada kilichojiri mkutono wa Ccm Jangwani kumtambulisha Dr Makufuli appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPLUTAJIRI WA VICKY...
11 years ago
GPLUTAJIRI WA DIDA GUMZO!
11 years ago
GPLUTAJIRI WA MASANJA KUFURU!
10 years ago
Vijimambo25 Sep
TANZANIA YETU NA UTAJIRI WA ASILI
10 years ago
Habarileo13 Apr
Gwajima akana utajiri wake
ASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama ni utajiri, anatarajia siku moja utamshukia.
11 years ago
Habarileo08 Jul
Majirani kushiriki utajiri wa gesi
UTAFITI zaidi wa mafuta na gesi unaoendelea nchini, unaweza kuilazimu nchi kuingia katika makubaliano ya uzalishaji wa pamoja wa sehemu ya nishati hiyo na nchi za jirani. Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa iliyowekwa hivi karibuni katika Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa, imefafanua kwa undani historia ya mafanikio ya sekta hiyo muhimu kwa maisha ya kiuchumi ya Watanzania na uwezekano huo katika siku za hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kuna baadhi ya miamba inayozalisha gesi...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Magadi soda ni utajiri mwingine
10 years ago
Habarileo24 Apr
Dewji kugawa utajiri wake
MFANYABIASHARA na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed Dewji (39) anatarajia kuanzisha taasisi yake ya Mohammed Foundation mwezi ujao, itakayotoa misaada mbalimbali kwa jamii na ametenga mabilioni ya fedha.