Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meza ya Duara, Mada kilichojiri mkutono wa Ccm Jangwani kumtambulisha Dr Makufuli

The post Meza ya Duara, Mada kilichojiri mkutono wa Ccm Jangwani kumtambulisha Dr Makufuli appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

CCM BAGAMOYO KUKAA MEZA MOJA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MDOGO NA WILAYA

****************************
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO .
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimejipanga ,kuwakutanisha viongozi wa Halmashauri ya Mji Mdogo na wa Halmashauri ya Wilaya, ili kuhakikisha wanashirikiana na kuondoa muingiliano wa mambo kwa maslahi ya wananchi. 
Hatua hiyo inalenga kila Mamlaka kutimiza majukumu kulingana na mipaka yake, lengo kubwa ni kuondoa muingiliano wa kazi, hali inayoonekana kujitokeza ikichangia kukwama kwa baadhi ya shughuli za...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ?

Ccm ni miaka 51(nusu karne) imeshika madaraka na bado Wtz waakawaida ni maskini na Serekali inayo ongozwa na Ccm 80% inaomba budget yake ya kila mwaka kwa misada ya kigeni. Jee kweli Makufuli 1 ambaye kila […]

The post Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ? appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Duara la Utajiri

Niliwaza kwa nini mtu kama Eric anamtaja Mungu. Akili yangu daima nilijua kuwa hakuna tajiri katika ulimwengu huu aliupata kwa kumtumaini Mungu na kumwamini maana ndiye chanzo cha mafanikio ya mwanadamu. Usiku ule sikusumbuka sana kwani macho na masikio yangu vilimwona na kumsikia Eric ambaye sasa niliishi naye  chumbani mwangu kupitia santuri. Hata hivyo moyo wangu ulihitaji guso halisi la Eric. Uzito wa upweke na kukiona kitanda ilikuwa ni tabia ambayo ilienea baada ya kupokea barua za...

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo jioni hii kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Convition Centre), uliopo Mjini Dodoma. CCM wanafanya mkutano mkubwa wa kumtambulisha Mgombea wao jioni hii kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe...

 

9 years ago

GPL

CCM WAFUNIKA JANGWANI, DAR

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo. Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali. Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.…

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani:

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]

The post Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Fainali: CCM siri, Ukawa Jangwani

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 zikibakiza majuma matatu, vyama viwili vikubwa vimeanza kucheza karata zake kwa uangalifu, huku fainali ikisubiriwa siku ya kufunga kampeni Oktoba 24 kwa kuwahi viwanja na televisheni za kurusha matangazo ya moja kwa moja.

 

9 years ago

Vijimambo

ILIKUA NI FUNGA KAZI MKUTANO WA CCM JANGWANI LEO

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia  wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwenye mkutano wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi.  Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikweteakimnadi mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye viwanja vya Jangwani Dar es Salaam. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani