Kasulumbayi: Katiba itambue maeneo ya wafugaji
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Sylvester Kasulumbayi, amesema ni vema wafugaji wakatambuliwa kikatiba na maeneo yao yakatambuliwa kisheria. Kasulumbayi alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia mada mbalimbali katika mkutano wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Sep
Wataka Katiba itambue haki ya kuhifadhi maiti
11 years ago
Mwananchi17 May
Serikali sasa kutenga maeneo ya wafugaji nchini
11 years ago
Michuzi
mkuu wa mkoa wa manyara akagua shule maeneo ya wafugaji


11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Wafugaji wahofu Katiba kutowatambua
KUNDI la wafugaji nchini wameeleza hofu ya maisha yao kutokana na rasimu ya pili ya Katiba kutokuwa na vipengele vinavyotambua uhalali wao wa kuishi na shughuli wanazofanya. Akizungumza na Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Wafugaji wateua wawakilishi Bunge la Katiba
VYAMA vya wafugaji wa asili Tanzania pamoja na mashirika na mitandao ya wafugaji vipatavyo 31, wamekutana juzi katika mkutano mkuu maalumu kuchagua wawakilishi wao wanaowapendekeza kuingia katika Bunge maalumu la...
11 years ago
Habarileo26 Dec
Wafugaji waomba Mchakato Bunge la Katiba usiharibiwe
VYAMA vya Wafugaji wa Asili vimemuomba Rais Jakaya Kikwete kuangalia kwa makini baadhi ya watu wanaotaka kuharibu mchakato wa mapendekezo ya wawakilishi kwenye Bunge Maalumu la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
SYLVESTER KASULUMBAYI: Mifugo si kero, ni utajiri
“ILI taifa liweze kuwa na uchumi uliosimama na maendeleo ya kweli ni lazima utawala uliopo madarakani uhakikishe unawapatia wananchi elimu kulingana na kile wanachokizalisha. Hiyo ni kauli ya Mbunge wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Msigwa kortini, Kasulumbayi nje kwa dhamana
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa tuhuma za kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli. Mbele...
11 years ago
Mwananchi05 May
Bajeti ya 2014/15 itambue sekta ya michezo