Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kasulumbayi: Katiba itambue maeneo ya wafugaji

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Sylvester Kasulumbayi, amesema ni vema wafugaji wakatambuliwa kikatiba na maeneo yao yakatambuliwa kisheria. Kasulumbayi alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia mada mbalimbali katika mkutano wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wataka Katiba itambue haki ya kuhifadhi maiti

Tukio la kutupwa kwa viungo vya binadamu jijini Dar es Salaam limewagusa baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba ambao sasa wamependekeza Katiba mpya itambue haki ya kuhifadhi maiti.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kutenga maeneo ya wafugaji nchini

Kutokana na kushamiri kwa migogoro kati ya wakulima na wafugaji Serikali imetenga hekta 1,349,132.50 kwa ajili ya wafugaji katika vijiji 543 vilivyopo katika wilaya 75 zilizopo katika mikoa 21 nchini.

 

11 years ago

Michuzi

mkuu wa mkoa wa manyara akagua shule maeneo ya wafugaji

 Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza jana na mzazi na mwanafunzi wa shule ya sekondari Naisinyai Wilayani Simanjiro kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo, Mbwilo aliwapongeza mzazi na mwanafunzi huyo wa jamii ya kifugaji kwa kuzingatia elimu.  Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza jana na wakazi wa Kata ya Mirerani, Wilayani Simanjiro, kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo (kushoto) ni Diwani wa kata hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wahofu Katiba kutowatambua

KUNDI la wafugaji nchini wameeleza hofu ya maisha yao kutokana na rasimu ya pili ya Katiba kutokuwa na vipengele vinavyotambua uhalali wao wa kuishi na shughuli wanazofanya. Akizungumza na Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wateua wawakilishi Bunge la Katiba

VYAMA vya wafugaji wa asili Tanzania pamoja na mashirika na mitandao ya wafugaji vipatavyo 31, wamekutana juzi katika mkutano mkuu maalumu kuchagua wawakilishi wao wanaowapendekeza kuingia katika Bunge maalumu la...

 

11 years ago

Habarileo

Wafugaji waomba Mchakato Bunge la Katiba usiharibiwe

VYAMA vya Wafugaji wa Asili vimemuomba Rais Jakaya Kikwete kuangalia kwa makini baadhi ya watu wanaotaka kuharibu mchakato wa mapendekezo ya wawakilishi kwenye Bunge Maalumu la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SYLVESTER KASULUMBAYI: Mifugo si kero, ni utajiri

“ILI taifa liweze kuwa na uchumi uliosimama na maendeleo ya kweli ni lazima utawala uliopo madarakani uhakikishe unawapatia wananchi elimu kulingana na kile wanachokizalisha. Hiyo ni kauli ya Mbunge wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msigwa kortini, Kasulumbayi nje kwa dhamana

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa tuhuma za kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli. Mbele...

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti ya 2014/15 itambue sekta ya michezo

Bunge la bajeti linaanza kesho huku Serikali ikiwa imetoa mwelekeo wa bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni Sh19.6 trilioni, ikilinganishwa na Sh18.2 za Bajeti iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani