Wafugaji waomba Mchakato Bunge la Katiba usiharibiwe
VYAMA vya Wafugaji wa Asili vimemuomba Rais Jakaya Kikwete kuangalia kwa makini baadhi ya watu wanaotaka kuharibu mchakato wa mapendekezo ya wawakilishi kwenye Bunge Maalumu la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Mchakato wa Wajumbe wa Bunge la Katiba waanza
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Wafugaji wateua wawakilishi Bunge la Katiba
VYAMA vya wafugaji wa asili Tanzania pamoja na mashirika na mitandao ya wafugaji vipatavyo 31, wamekutana juzi katika mkutano mkuu maalumu kuchagua wawakilishi wao wanaowapendekeza kuingia katika Bunge maalumu la...
10 years ago
Habarileo04 Dec
Rufiji waomba wafugaji wahamishwe
WANAKIJIJI wa Mayuyu wilayani Rufiji mkoani Pwani, wameiomba serikali kuwahamisha wafugaji kwenye kijiji hicho, kutokana na migogoro mingi ya ardhi, inayosababishwa na wafugaji hao, ambao wengi wao wameingia kijijini hapo bila kuwa na vibali.
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...