Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rufiji waomba wafugaji wahamishwe

WANAKIJIJI wa Mayuyu wilayani Rufiji mkoani Pwani, wameiomba serikali kuwahamisha wafugaji kwenye kijiji hicho, kutokana na migogoro mingi ya ardhi, inayosababishwa na wafugaji hao, ambao wengi wao wameingia kijijini hapo bila kuwa na vibali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wafugaji waomba Mchakato Bunge la Katiba usiharibiwe

VYAMA vya Wafugaji wa Asili vimemuomba Rais Jakaya Kikwete kuangalia kwa makini baadhi ya watu wanaotaka kuharibu mchakato wa mapendekezo ya wawakilishi kwenye Bunge Maalumu la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

WATUMISHI WALIOKAA ZAIDI YA MIAKA 10 WAHAMISHWE - PINDA.

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Bibi Amina Masenza aandae orodha ya watumishi wa mkoa huo ambao wamekaa kwenye nafasi za ajira kwa zaidi ya miaka 10 na kumpelekea ili wafanyiwe utaraibu wa kuhamishiwa vituo vingine.
Ametoa agizo hilo jana jioni (Jumatatu, Februari 23, 2015) wakati akizungumza na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Iringa waliofika kusikiliza majumuisho ya ziara ya siku sita ya Waziri Mkuu kwenye mkoa huo. Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mapigano yafukuta Rufiji

IGP Ernest ManguMGOGORO mkubwa kati ya wakulima na wafugaji huenda unafukuta, sambamba na uharibifu wa mazingira katika wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani baada ya maelfu ya ng’ombe kuzagaa zaidi ya eneo la ardhi lililokuwa limetengwa kwa ajili ya malisho ya mifugo hao.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngarambe wavutana na mwekezaji Rufiji

>Baadhi ya wakazi wa Kata ya Ngarambe inayo ayopakana na pori la akiba la Selous wilayani Rufiji, wamedai kuwa kitendo cha mwekezaji katika kitalu chao kushindwa kuwinda miaka miwili mfululizo, kinatoa mwanya kwa baadhi ya wanakijiji kuua wanyama kiholela kutokana na kukosekana kwa doria za mara kwa mara katika eneo hilo.

 

11 years ago

IPPmedia

21 die in Rufiji road crash, 9 seriously hurt


IPPmedia
21 die in Rufiji road crash, 9 seriously hurt
IPPmedia
At least 21 people died and 9 were injured on Saturday evening when three vehicles collided at Mkupuka Village in Rufiji District, Coast Region, on the Dar es Salaam-Lindi highway. Police said a Toyota Noah T 948 CUX, carrying passengers from Ikwiriri ...
21 people killed in Tanzania road crashBusiness Standard
12 killed in Tanzania road accidentAPA

all 15

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali mbaya yaua watu 22 Rufiji

>Siku moja baada ya ajali kuua watu 12 wilayani Same, ajali nyingine mbili mbaya zilizohusisha magari matano zimetokea katika eneo moja wilayani Rufiji na kuua watu 22, akiwamo kondakta wa gari aina ya Toyota Hiace ambaye kichwa chake kimetenganishwa na kiwiliwili.

 

11 years ago

Daily News

Eight missing after boat capsizes in Rufiji river


Eight missing after boat capsizes in Rufiji river
Daily News
AT least 8 out of 16 people are missing after a boat they were travelling in capsized in Rufiji River in Utete area in Rufiji District, Coast Region, on Sunday evening. Coast Regional Police Commander (RPC), Mr Ulrich Matei, said that the boat, whose captain ...

 

11 years ago

Rufiji River crocodile eats woman


Rufiji River crocodile eats woman -- Police
Daily News
A WOMAN was killed by a crocodile while drawing water in Rufiji River in Utete District, Coast Region, on Thursday last week, police have said. Coast Regional Police Commander (RPC), Ulrich Matei, said that the woman, who was identified as Mwajabu ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani