Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano yafukuta Rufiji

IGP Ernest ManguMGOGORO mkubwa kati ya wakulima na wafugaji huenda unafukuta, sambamba na uharibifu wa mazingira katika wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani baada ya maelfu ya ng’ombe kuzagaa zaidi ya eneo la ardhi lililokuwa limetengwa kwa ajili ya malisho ya mifugo hao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kashfa ya Escrowtageta yafukuta TZ

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu (PAC) aliwasilisha ripoti ya uchunguzi bungeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Migogoro yafukuta Toto African

Wanachama wa Klabu ya Toto Africans wamemtaka Makamu Mwenyekiti na Kamati ya Utendaji kujiuzulu kutokana na utendaji wao kuwa butu na kusababisha kushuka kwa maendeleo ya timu.

 

10 years ago

Habarileo

Rufiji waomba wafugaji wahamishwe

WANAKIJIJI wa Mayuyu wilayani Rufiji mkoani Pwani, wameiomba serikali kuwahamisha wafugaji kwenye kijiji hicho, kutokana na migogoro mingi ya ardhi, inayosababishwa na wafugaji hao, ambao wengi wao wameingia kijijini hapo bila kuwa na vibali.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngarambe wavutana na mwekezaji Rufiji

>Baadhi ya wakazi wa Kata ya Ngarambe inayo ayopakana na pori la akiba la Selous wilayani Rufiji, wamedai kuwa kitendo cha mwekezaji katika kitalu chao kushindwa kuwinda miaka miwili mfululizo, kinatoa mwanya kwa baadhi ya wanakijiji kuua wanyama kiholela kutokana na kukosekana kwa doria za mara kwa mara katika eneo hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

DC awashukia wanaovuna mazao ya misitu Rufiji

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Nurdin Babu ametangaza vita dhidi ya wavunaji haramu wa mazao ya misitu baada ya kuanza kutumika kwa taratibu mpya.

 

11 years ago

Rufiji River crocodile eats woman


Rufiji River crocodile eats woman -- Police
Daily News
A WOMAN was killed by a crocodile while drawing water in Rufiji River in Utete District, Coast Region, on Thursday last week, police have said. Coast Regional Police Commander (RPC), Ulrich Matei, said that the woman, who was identified as Mwajabu ...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali mbaya yaua watu 22 Rufiji

>Siku moja baada ya ajali kuua watu 12 wilayani Same, ajali nyingine mbili mbaya zilizohusisha magari matano zimetokea katika eneo moja wilayani Rufiji na kuua watu 22, akiwamo kondakta wa gari aina ya Toyota Hiace ambaye kichwa chake kimetenganishwa na kiwiliwili.

 

11 years ago

Daily News

Eight missing after boat capsizes in Rufiji river


Eight missing after boat capsizes in Rufiji river
Daily News
AT least 8 out of 16 people are missing after a boat they were travelling in capsized in Rufiji River in Utete area in Rufiji District, Coast Region, on Sunday evening. Coast Regional Police Commander (RPC), Mr Ulrich Matei, said that the boat, whose captain ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wilaya ya Rufiji yapokea vifaa tiba

02

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Seif Rashid akiongea na wananchi wa kata ya Mbwala wilayani Rufiji mkoa wa Pwani Juma Ligomba hivi karibuni kabla ya kukabidhi vifaa tiba ambavyo vitakavyotumika katika zahanati mbalimbali wilayani humo.

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Seif Rashid amekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya sh milioni 23.8 ambavyo vitakavyotumika katika zahanati mbalimbali wilayani Rufiji mkoa wa Pwani.

Vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani