Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kashfa ya Escrowtageta yafukuta TZ

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu (PAC) aliwasilisha ripoti ya uchunguzi bungeni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mapigano yafukuta Rufiji

IGP Ernest ManguMGOGORO mkubwa kati ya wakulima na wafugaji huenda unafukuta, sambamba na uharibifu wa mazingira katika wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani baada ya maelfu ya ng’ombe kuzagaa zaidi ya eneo la ardhi lililokuwa limetengwa kwa ajili ya malisho ya mifugo hao.

 

10 years ago

Mwananchi

Migogoro yafukuta Toto African

Wanachama wa Klabu ya Toto Africans wamemtaka Makamu Mwenyekiti na Kamati ya Utendaji kujiuzulu kutokana na utendaji wao kuwa butu na kusababisha kushuka kwa maendeleo ya timu.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

KASHFA YA IPTL


Kafulila aikwepa TAKUKURU

Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameshindwa kuwasilisha ushahidi wake kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuhusiana na kashfa ya malipo yaliyofanywa na Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow.
Kafulila aliibua tuhuma hizo huku akiwatuhumu baadhi ya mawaziri na watendaji wa serikali, ambapo mara kadhaa serikali imekuwa ikitoa ufafanuzi kuhusiana na sakata hilo.
Hata hivyo, serikali ilitangaza kukabidhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa nzito Tafico

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeingia katika kashfa nzito ya kudaiwa kutafuna zaidi ya sh milioni 200 za kujenga ukuta wa kuzuia kuanguka kwa jengo la lililokuwa Shirika...

 

10 years ago

GPL

Tambwe apata kashfa

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akiwania mpira na beki wa Simba, Juuko Murshid.
Mwandishi Wetu
Dar es SalaamYALE mambo ya kudhalilishana sasa yanaonekana kuendelea kushika kasi baada ya mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe kunaswa na kamera ‘noumaa’ za gazeti la Championi akimdhalilisha beki wa Simba, Juuko Murshid. Tambwe raia wa Burundi amenaswa akimvuta kwa makusudi sehemu za siri beki huyo ambaye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa nzito Simba

UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake, unadaiwa kuchukua kitita cha sh milioni 100 zilizotakiwa kutolewa msimu ujao kutoka Azam Media kwa madai ya kwenda kujenga uwanja wao Bunju, Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Padri akumbwa na kashfa

KANISA Katoliki limeingia kwenye kashfa baada ya mmoja wa mapadri wake katika Jimbo Katoliki Singida, Deogratius Makuri kufikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Utemini mjini hapa, akituhumiwa kushindwa kutunza mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa ufisadi CCM

SHULE za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimekumbwa na taharuki baada ya bodi yake ya wadhamini kuwalazimisha wakuu wa shule hizo kulipa ada ya sh milioni 2.5...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa ya ajira TFDA

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeingia kwenye kashfa ya kumwajiri mtumishi asiye na cheti cha kitaaluma kuwa msaidizi wa maabara ya dawa kuanzia Desemba 2, 2013. Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani