Kashfa ya Escrowtageta yafukuta TZ
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu (PAC) aliwasilisha ripoti ya uchunguzi bungeni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Dec
Mapigano yafukuta Rufiji
MGOGORO mkubwa kati ya wakulima na wafugaji huenda unafukuta, sambamba na uharibifu wa mazingira katika wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani baada ya maelfu ya ng’ombe kuzagaa zaidi ya eneo la ardhi lililokuwa limetengwa kwa ajili ya malisho ya mifugo hao.
10 years ago
Mwananchi05 May
Migogoro yafukuta Toto African
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
KASHFA YA IPTL
Kafulila aikwepa TAKUKURU
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameshindwa kuwasilisha ushahidi wake kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuhusiana na kashfa ya malipo yaliyofanywa na Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow.
Kafulila aliibua tuhuma hizo huku akiwatuhumu baadhi ya mawaziri na watendaji wa serikali, ambapo mara kadhaa serikali imekuwa ikitoa ufafanuzi kuhusiana na sakata hilo.
Hata hivyo, serikali ilitangaza kukabidhi...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Kashfa nzito Tafico
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeingia katika kashfa nzito ya kudaiwa kutafuna zaidi ya sh milioni 200 za kujenga ukuta wa kuzuia kuanguka kwa jengo la lililokuwa Shirika...
10 years ago
GPLTambwe apata kashfa
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Kashfa nzito Simba
UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake, unadaiwa kuchukua kitita cha sh milioni 100 zilizotakiwa kutolewa msimu ujao kutoka Azam Media kwa madai ya kwenda kujenga uwanja wao Bunju, Dar es...
11 years ago
Habarileo21 Dec
Padri akumbwa na kashfa
KANISA Katoliki limeingia kwenye kashfa baada ya mmoja wa mapadri wake katika Jimbo Katoliki Singida, Deogratius Makuri kufikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Utemini mjini hapa, akituhumiwa kushindwa kutunza mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Kashfa ufisadi CCM
SHULE za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimekumbwa na taharuki baada ya bodi yake ya wadhamini kuwalazimisha wakuu wa shule hizo kulipa ada ya sh milioni 2.5...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Kashfa ya ajira TFDA
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeingia kwenye kashfa ya kumwajiri mtumishi asiye na cheti cha kitaaluma kuwa msaidizi wa maabara ya dawa kuanzia Desemba 2, 2013. Mkurugenzi wa...