Kashfa nzito Tafico
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeingia katika kashfa nzito ya kudaiwa kutafuna zaidi ya sh milioni 200 za kujenga ukuta wa kuzuia kuanguka kwa jengo la lililokuwa Shirika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Kashfa nzito Simba
UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake, unadaiwa kuchukua kitita cha sh milioni 100 zilizotakiwa kutolewa msimu ujao kutoka Azam Media kwa madai ya kwenda kujenga uwanja wao Bunju, Dar es...
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Kashfa nzito yaibuka Bandari
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Kashfa nzito sekta ya afya
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kashfa nzito ya ufisadi Moshi
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Kashfa nzito Miss Tanzania
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Kashfa saba nzito nchini
10 years ago
Mtanzania30 Sep
Kashfa nzito ulinzi shirikishi Ubungo
![Eneo la Ubungo jijini Dar](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/ubungo.jpg)
Eneo la Ubungo jijini Dar
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo maarufu kama ‘wamachinga’ wa eneo la Ubungo, Manispaa ya Kinondoni, wamegeuzwa kitega uchumi na kikundi kinachojiita cha ulinzi shirikishi kwa kuwatoza ushuru kinyume na sheria.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA umebaini kikundi hicho kimekuwa kikikusanya fedha kwa wafanyabiashara hao kati ya Sh 1,000 na 5,000 kutegemea aina ya biashara, ushuru ambao unaingia mifukoni mwao bila halmashauri kujua.
Mbali na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Madudu mapya jengo la Tafico
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imejenga uzio kwa ajili ya kuzuia kuanguka kwa jengo la lililokuwa Shirika la Uvuvi nchini (Tafico) ambalo hivi karibuni gazeti hili liliripoti kukaribia...
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
KASHFA YA IPTL
Kafulila aikwepa TAKUKURU
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameshindwa kuwasilisha ushahidi wake kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuhusiana na kashfa ya malipo yaliyofanywa na Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow.
Kafulila aliibua tuhuma hizo huku akiwatuhumu baadhi ya mawaziri na watendaji wa serikali, ambapo mara kadhaa serikali imekuwa ikitoa ufafanuzi kuhusiana na sakata hilo.
Hata hivyo, serikali ilitangaza kukabidhi...