Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakalebela apinga ushindi wa Msigwa kortini

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frederick Mwakalebela, amekwenda mahakamani kupinga matokeo ya ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Msigwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mwakalebela atinga kortini kumpinga Msigwa

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini (CCM), Frederick Mwakalebela amefungua kesi kupinga ushindi wa Mchungaji Peter Msigwa (Chadema).

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakalebela: Siku za Msigwa zinahesabika Iringa

Jimbo la Iringa Mjini ni miongoni mwa majimbo ya uchaguzi yanayoongozwa na wabunge kutoka vyama vya upinzani nchini.

 

9 years ago

Raia Mwema

Msigwa, Mwakalebela wakabana koo Iringa

KAMA ilivyo kwa Mbeya Mjini, Jimbo la Iringa Mjini nako ni mapambano kati ya Mgombea wa CCM, Davi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Peter Msigwa: Nini Mwakalebela, hata Kinana aje atakimbia tu hapa

Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kutaja siri ya chama hicho kupoteza majimbo mbalimbali, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema chama hicho kisahau kuchukua jimbo hilo.

 

9 years ago

Michuzi

MWAKALEBELA AKANUSHA KUFUTWA KWA KESI YAKE DHIDI YA MCHUNGAJI PETTER MSIGWA NA MKURUGEZI WA MANISPAA YA IRINGA

Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Iringa mjini kimekanusha kufutwa kwa kesi yao dhidi ya Mkurungenzi wa manispaa ya Iringa  pamoja na mbunge wa jimbo la iringa mjini mchungaji  Peter Msigwa.
Katibu wa CCM  wilaya ya Iringa mjini ELISHA MWAMPASHE amesema kuwa taarifa zilizosambaa sehemu mbalimbali sio za kweli.“Nimekuwa nikipigiwa simu nyingi toka jana nikipewa taarifa kuwa kesi yetu imetupiliwa mbali na imeenea sana kwenye mitandao ya kijamii na maeneo mbalimbali ukweli ni kwamba kesi ya...

 

9 years ago

Michuzi

ACT WAZALENDO WASEMA MCHUANO IRINGA NI CHIKU ,MWAKALEBELA NA MASASI ,MCHUNGAJI MSIGWA ASICHAGULIWE KASHINDWA KAZI

Na MatukiodaimablogCHAMA Cha ACT wazalendo kimewataka wananchi wa jimbo la Iringa Mjini kuwapima wagombea watatu waliojitokeza kuomba kuchaguliwa kupokea  nafasi ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Mchungaji Peter Msigwa ( Chadema)kwa madai kuwa hapaswi tena kupewa kura katika jimbo hilo.
Katibu Wilaya  wa ACT wazalendo Wilaya ya  Iringa Bw Zhenepa Ally leo wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Ubunge wa jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao ( ACT wazalendo) kwenye kata ya Kitwiru .
Alisema...

 

9 years ago

Habarileo

Apinga ushindi wa mdogo wake

MGOMBEA udiwani kata mpya ya Kanda wilaya ya Sumbawanga Vijijini mkoa wa Rukwa, Ozem Chapita (Chadema) amepinga matokeo yaliyompatia ushindi mdogo wake Yowtai Meshack (CCM) kwa tofauti ya kura moja. Katika matokeo ya uchaguzi huo yalimtangaza Meshack (CCM) kuwa mshindi wa udiwani kata ya Kanda.

 

9 years ago

Habarileo

Apinga ushindi wa Malocha jimbo la Kwela

ALIYEKUWA mgombea ubunge Jimbo la Kwela mkoani Rukwa kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Daniel Nafthal Ngogo, jana alfajiri alitoka nje ya ukumbi akibubujikwa na machozi huku akipinga matokeo yalioonyesha kwamba ameshindwa.

 

9 years ago

Habarileo

Msigwa, wenzake kortini kwa kujeruhi polisi

MGOMBEA Ubunge jimbo la Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Iringa wakituhumiwa kushambulia na kujeruhi askari polisi wawili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani