ACT WAZALENDO WASEMA MCHUANO IRINGA NI CHIKU ,MWAKALEBELA NA MASASI ,MCHUNGAJI MSIGWA ASICHAGULIWE KASHINDWA KAZI
![](http://lh3.googleusercontent.com/--O1XrdLsLjc/VfBpdvRhX6I/AAAAAAACAfU/dBXrfoauy3c/s72-c/blogger-image--456367688.jpg)
Na MatukiodaimablogCHAMA Cha ACT wazalendo kimewataka wananchi wa jimbo la Iringa Mjini kuwapima wagombea watatu waliojitokeza kuomba kuchaguliwa kupokea nafasi ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Mchungaji Peter Msigwa ( Chadema)kwa madai kuwa hapaswi tena kupewa kura katika jimbo hilo.
Katibu Wilaya wa ACT wazalendo Wilaya ya Iringa Bw Zhenepa Ally leo wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Ubunge wa jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao ( ACT wazalendo) kwenye kata ya Kitwiru .
Alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EG2I4ZmpqYM/VlK_qXWZqHI/AAAAAAAIH34/lzbjZkcQO9s/s72-c/IMG_20151120_115511.jpg)
MWAKALEBELA AKANUSHA KUFUTWA KWA KESI YAKE DHIDI YA MCHUNGAJI PETTER MSIGWA NA MKURUGEZI WA MANISPAA YA IRINGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EG2I4ZmpqYM/VlK_qXWZqHI/AAAAAAAIH34/lzbjZkcQO9s/s640/IMG_20151120_115511.jpg)
Katibu wa CCM wilaya ya Iringa mjini ELISHA MWAMPASHE amesema kuwa taarifa zilizosambaa sehemu mbalimbali sio za kweli.“Nimekuwa nikipigiwa simu nyingi toka jana nikipewa taarifa kuwa kesi yetu imetupiliwa mbali na imeenea sana kwenye mitandao ya kijamii na maeneo mbalimbali ukweli ni kwamba kesi ya...
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Msigwa, Mwakalebela wakabana koo Iringa
KAMA ilivyo kwa Mbeya Mjini, Jimbo la Iringa Mjini nako ni mapambano kati ya Mgombea wa CCM, Davi
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mwakalebela: Siku za Msigwa zinahesabika Iringa
9 years ago
MichuziCHIKU ABWAO: HERI YA MONICA MBEGA WA CCM KULIKO MCHUNGAJI MSIGWA WA CHADEMA NAOMBA NICHAGUENI MIMI SAFARI HII
Akizungumza katika mkutano wake wa kampeni za Ubunge jana kata ya Kihesa alisema iwapo atakuwa mbunge wao atahakikisha anakuwa mbunge wa mfano wa kuwaletea maendeleo sahihi.
Kwani alisema kuwa historia ya jimbo hilo...
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Uchaguzi ACT-Wazalendo: Je, Zitto vs Jussa ni mchuano wa kweli ama mipango ya ndani?
10 years ago
VijimamboMBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LxvMl_N0rUs/VaNWMT99dnI/AAAAAAAHpQc/a1blBPwPumg/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MWENYEKITI WA BAVICHA AMVAA MCHUNGAJI MSIGWA UBUNGE IRINGA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LxvMl_N0rUs/VaNWMT99dnI/AAAAAAAHpQc/a1blBPwPumg/s320/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
9 years ago
MichuziACT WAZALENDO JIMBO LA IRINGA WAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
9 years ago
Habarileo02 Jan
Mwenyekiti ACT-Wazalendo awakumbusha kazi waandishi
ALIYEKUWA mgombea wa Urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Anna Mghwira amewataka waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha wazazi au walezi wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari juu ya athari za utoro shuleni.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10