Mfanyakazi wa UN afariki Ujerumani
Mfanyakazi katika kituo cha kuwahudumia wagonjwa wa Ebola.
Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani.
Madaktari katika hospitali ya Leipzig wamesema mtu huyo mwenye umri wa miaka 56, alifariki dunia mapema Jumanne asubuhi.Mlipuko huo umeua zaidi ya watu 4,000 tangu mwezi Marchi, mwaka huu hususan katika nchi za Liberia, Sierra Leone, Guinea na Nigeria.
Shirika la Afya Duniani limeuelezea ugonjwa huo kama tatizo la dharura la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ROBOTI LAMUUA MFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGARI CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI
11 years ago
GPL
MFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI
11 years ago
Michuzi
MFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA)AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI



Ajali mbaya imetokea barabara kuu ya Arusha Moshi ikihusisha Lori aina ya Sacania lenye namba za Usajili T 137 ATA na pikipiki aina ya Suzuki yenye namba SU 40262 mali...
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Kiongozi wa zamani wa Ujerumani afariki
11 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mfanyakzi wa UN afariki nchini Ujerumani
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Adaiwa kumdhalilisha mfanyakazi
10 years ago
GPL
MFANYAKAZI CLOUDS MBARONI
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Haki na wajibu wa mfanyakazi II
Haki ya kupata mapumziko ya uzazi Hakuna mfanyakazi aliyejifungua atakayefanya kazi ndani ya wiki sita tangu ajifungue isipokuwa kwa ruhusa ya daktari. Mfanyakazi aliyejifungua ana haki ya kuendelea na kazi...
11 years ago
Habarileo15 Oct
Mashine yaua mfanyakazi kiwandani
MFANYAKAZI wa kiwanda cha kutengeneza nguo na vyandarua cha A to Z, kilichopo Kisongo nje kidogo ya Jiji la Arusha amekufa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kudondokewa na mashine ya kufungia marobota.