Mfanyakzi wa UN afariki nchini Ujerumani
Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo14 Oct
Mfanyakazi wa UN afariki Ujerumani

Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani.
Madaktari katika hospitali ya Leipzig wamesema mtu huyo mwenye umri wa miaka 56, alifariki dunia mapema Jumanne asubuhi.Mlipuko huo umeua zaidi ya watu 4,000 tangu mwezi Marchi, mwaka huu hususan katika nchi za Liberia, Sierra Leone, Guinea na Nigeria.
Shirika la Afya Duniani limeuelezea ugonjwa huo kama tatizo la dharura la...
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Kiongozi wa zamani wa Ujerumani afariki
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini Ufaransa
10 years ago
GPL
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AWASILI NCHINI
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Mkasa uliompata Rais wa Misri nchini Ujerumani
10 years ago
Vijimambo
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK ALIVYOWASILI NCHINI



10 years ago
MichuziWIZARA YA NISHATI MADINI YAKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA UJERUMANI NCHINI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Ndosi Mwihava akitoa maelezo kwa wafanyabiashara wa Ujerumani wakitaka kujua mazingira ya uwekezaji katika sekta ya nishati na Madini walipotembelea wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Rais wa Ujerumani awasili nchini kuanza ziara ya kitaifa