Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini Ufaransa
Ndege ya shirika la ndege la Ujerumani imeanguka katika eneo la milima ya Alps nchini Ufaransa ikiwa na abiria 142 na wahudumu 6
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuYd3JLPfVeR*rwCX*QWNccWNxS*sryCMGCxEYnuV7f9eKLRmGs8jRx6HN9Dz6DXH6vzootDsLQPYkh4eVh1vCA/GermanWings1.jpg?width=650)
NDEGE YA UJERUMANI YAANGUKA IKIWA NA WATU 150
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tA0TEbnSiG8/VbSz0KW5__I/AAAAAAABDoc/9xGlmTMIkKQ/s72-c/To.jpg)
NDEGE NDOGO YAANGUKA NA KUUA WATU WATATU NCHINI JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-tA0TEbnSiG8/VbSz0KW5__I/AAAAAAABDoc/9xGlmTMIkKQ/s640/To.jpg)
Ndege hiyo ya viti vinne ilianguka baada ya kupaa ikitokea Chofu katika uwanja wa Tokyo, shirika la umma la NHK limeripoti.
Nyumba zipatazo mbili na magari mawili yaliungua moto, ambapo pia watu wawili waliokuwa kwenye ndege walikufa pamoja na mwanamke moja aliyekuwa kwenye nyumba.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
10 years ago
Habarileo02 Sep
Ndege yaanguka Serengeti
UCHUNGUZI wa awali kuhusu kupotea kwa ndege ya mizigo ya Shirika la Safari Express ya nchini Kenya, umeonesha kuwa ndege hiyo yenye usajili namba 5Y SXP, aina ya Fokker 27, imepata ajali.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Ndege ya Algeria yaanguka
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Ndege ya Kenya yaanguka Tanzania
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Ndege ya JWTZ yaanguka baharini
Na Aziaza Masoud, DAR ES SALAAM
MARUBANI wawili wa kikosi cha jeshi la anga wamefariki baada ya ndege ya mafunzo ya Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kupata hitilafu na kuanguka eneo la Silversands Msasani katika kisiwa cha Mbudya, Dar es Salaam.
Taarifa za kuanguka kwa ndege hiyo zilianza kusambaa kupitia mitandao ya jamii jana asubuhi zikieleza kuwa wavuvi walikuwa wa kwanza kutambua ajali hiyo baada ya kuona kofia ngumu.
Akizungumza na Mtanzania Dar es Salaam jana, Mkurugenzi...
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Ndege ya JWTZ yaanguka Mwanza
Na Mwandishi Wetu,
NDEGE ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imeanguka jana katika eneo la Uwanja wa Ndege wa Kijeshi wa Mwanza wakati ikifanya mazoezi.
Akitoa taarifa za kuanguka kwa ndege hiyo katika Makao Makuu ya jeshi hilo yaliyopo Dar es Salaam jana, Msemaji wa JWTZ, Joseph Masanja, alisema ndege za kivita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida na wakati rubani wake, Meja Peter Lyamunda, akijiandaa kuruka, ndipo ndege mnyama akaingia katika moja ya injini na...
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Ndege yaanguka Sudan Kusini