Mfanyakazi mkatili matatani Uganda
Polisi wamebadilisha mashtaka ya mfanyakazi wa nyumbani aliyenaswa kwa kamera akimpiga mtoto wa mwaka mmoja na nusu, kutoka kwa kosa la kutesa hadi kosa la jaribio la mauaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Dec
Mfanyakazi wa ndani ya Uganda afungwa miaka minne jela
Mahakama nchini Uganda imetoa hukumu ya miaka minne jela kwa mfanyakazi wa ndani, Jolly Tumuhiirwe, aliyepatikana na hatia ya kumtesa na kumpiga motto wa miezi 18. Tumuhiirwe, 22, alionekana kwenye video iliyosambaa mtandaoni akimpiga bila huruma mtoto huyo aitwaye Aneela. Msichana huyo aliwaomba radhi wazazi wa mtoto huyo na umma kwa ujumla na kudai kuwa […]
10 years ago
Vijimambo15 Dec
MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AENDA JELA MIAKA 4
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tuI60C5jJXhkQduOvSlOs9UXQWxFg7foWZRDRxOppckSNAG928HWlFyC3MlN1wKC9roO9WjN9Q-eNQhZddd*WiU/hausigeli.jpg)
HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo.
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tuD-AtotXeNYmjuTLjr-m9h*kJgyjlTC4ss*n9B23EqmSNwGrl34zAK1EIf2FJeZgxFUgm73DmXesiLsbsAP48U/Monstermaidkicks.png)
Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima.
Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.
10 years ago
Mwananchi22 Feb
KONA YA MAKENGEZA: Nisipokataa ukatili, na mimi mkatili
>Mara nyingine kejeli hazifai. Mara nyingine hata uandishi unaacha ladha mbaya mdomoni. Mara nyingine kukaa mbele ya kompyuta na kuandika huku watu wanateketea ni kama kukwepa majukumu. Mara nyingine ...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?
Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Mfanyakazi wa UN afariki Ujerumani
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/270/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/13/141013223914_ebola_us_304x171_reuters_nocredit.jpg)
Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani.
Madaktari katika hospitali ya Leipzig wamesema mtu huyo mwenye umri wa miaka 56, alifariki dunia mapema Jumanne asubuhi.Mlipuko huo umeua zaidi ya watu 4,000 tangu mwezi Marchi, mwaka huu hususan katika nchi za Liberia, Sierra Leone, Guinea na Nigeria.
Shirika la Afya Duniani limeuelezea ugonjwa huo kama tatizo la dharura la...
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Adaiwa kumdhalilisha mfanyakazi
>Mkazi wa Singida Mjini, Jacqueline Kweka (30) jana alipandishwa mahakamani mjini hapa akikabiliwa na tuhuma za kumfanyia ukatili mfanyakazi wake wa ndani (15).
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Haki na wajibu wa mfanyakazi II
Haki ya kupata mapumziko ya uzazi Hakuna mfanyakazi aliyejifungua atakayefanya kazi ndani ya wiki sita tangu ajifungue isipokuwa kwa ruhusa ya daktari. Mfanyakazi aliyejifungua ana haki ya kuendelea na kazi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mh8dDEyW3UfIFCWamM0zHxXhCx3QXU1zgZyU8BjN4EMQIG5jXb6Ip3VcCs1WM2xGIqEYPLTrmRYB8rEWyzRMqiw/DemuClouds.gif?width=650)
MFANYAKAZI CLOUDS MBARONI
Musa mateja
MREMBO aliyetajwa kwa jina la Cynthia Maximillian ambaye alikuwa mfanyakazi wa Kampuni ya Clouds Media Group amejikuta akitiwa mbaroni kwa madai ya kutapeli mamilioni ya shilingi ya wafanyakazi wenzake na marafiki aliosoma nao....Soma zidi===>http://bit.ly/1HXXrRE
10 years ago
Vijimambo20 Feb
MFANYAKAZI WA MWANANCHI APIGWA RISAS
![](http://api.ning.com/files/Xl7BOeGlGv9EqHqBCHd9OpgL1UiEMSNcztCBCk9pxazruEeQN2CoAtDCyuORjlXzqwDoKOmtwA6CbUzUwlQ8Cgw82HD*Uysm/dUiPQclH.jpeg)
![](http://api.ning.com/files/Xl7BOeGlGv*kLx1uLcY3G7QrUcfo14bcbeBOSVFh4-Od4dLgaeXHDQktpfr6iBcswcLpqF2AOpG36ZTvuExWlZjzouBJMyDJ/428316_295578473828914_855714388_n.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania