Jambazi apigwa risasi na wenzake
MTU mmoja anayeshukiwa kuwa ni jambazi sugu, Benard Aaron (47) ‘Chinga’ amefariki dunia kwa kupigwa risasi na majambazi wenzake. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana majira ya saa 8:00...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 May
Mmoja apigwa risasi na jambazi Dar
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAM
MTU mmoja ambaye jina lake halikufahamika amepigwa risasi mbili na kuporwa fedha na mtu mmoja anayedhaniwa kuwa ni jambazi katika eneo la Kijiweni Karibu na Baa ya Delux, Sinza, Dar es Salaam.
Tukio hilo lilitokea jana ambako MTANZANIA lilifika na kuelezwa na mashuhuda wa tukio hilo waliodai lilikuwa la kushtukiza na lilitokea saa 6.00 mchana.
Akisimulia tukio hilo dereva aliyekuwa akiendesha gari lililoshambuliwa namba T 236 DDT aliyefahamika kwa jina moja la...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Jambazi auawa katika majibishano ya risasi
MTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi sugu maarufu kama Ramadhani Jumanne ‘Rama Ndonga’ (37) ameuawa katika majibizano ya risasi kati yake na polisi yaliyotokea usiku wa kuamkia jana katika kijiji cha...
10 years ago
CloudsFM19 Jan
JAMBAZI AKUTWA NA MIFUPA YA BINADAMU BUNDUKI NA RISASI
Makamanda wa polisi wa mikoa mitatu ya simiyu, shinyanga na mwanza wamefanikiwa kuvunja mtandao hatari wa ujambazi uliokuwa unaongozwa na mfanyabiashara wa mjini bariadi Njile Samwel huku makachero wa jeshi hilo katika mikoa ya kanda ya ziwa pia wakikamata watuhumiwa watano, bunduki moja ya SMG, risasi 331 na mifupa inayodaiwa kuwa ya binadamu.Kamanda wa polisi mkoani mwanza, SACP Valentino Mlowola, akiwa ameambatana na kamanda Justus Kamugisha wa mkoa wa shinyanga pamoja na Charles Mkumbo...
10 years ago
Habarileo18 Jan
Kanda ya Ziwa wanasa jambazi sugu, SMG, risasi 331
POLISI wa mikoa ya Mwanza, Simiyu na Shinyanga wamefanikiwa kusambatarisha mtandao wa ujambazi kwenye mikoa hiyo baada ya kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ujambazi sugu, Njile Samweli (46) mkazi wa kijiji cha Lyoma, Bariadi mkoani Simiyu aliyekuwa akitafutwa kwa muda mrefu.
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Polisi aliyenusurika Sitakishari asimulia alivyoua jambazi akiwa majeruhi wa risasi
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Apigwa risasi machimboni
10 years ago
GPLMFANYAKAZI WA MWANANCHI APIGWA RISASI
11 years ago
GPLMC MAARUFU DAR APIGWA RISASI 9
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Mwanaharakati apigwa risasi Burundi