FUNDI NGUO AMCHEFUA DAVINA
![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCCfK3zrV0j*I6DTX3VQYjeVRgjFvkx8-62CGf6b-hS92eScXQ538lO5y7oDmZwPn2K8GwIb6HMnlMWNF5ZuLN6q/davina.jpg)
STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amechefuliwa vibaya na fundi wa nguo kwa kumcheleweshea nguo ya sare na kumfanya ashindwe kuivaa kwenye shughuli ya msanii mwenzake, Vanitha Omari. Staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akipiga stori na mwandishi wetu katika shughuli hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mawela Sinza, jijini Dar, Davina alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL*tpL0LX2RaxEPPRx6Q0pcR9wzjmf34ODdqtRAPUnkgw7hqeg0aqKG2uj8W4Czrh*jRoF1z--o72Zip0OmKWiiq/Wolper.jpg)
WOLPER: BORA NIWE FUNDI NGUO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb*ifYjAqxOvPByYw4H-TkAUdsUPPFX9RlsquU5K37t39mJifJKRpMFECvLI9*JowKmtbeJmPUa8zrVa-k16cyf5/davina.jpg)
DAVINA NIWAPO CHUMBANI NI MWENDO WA NGUO LAINIII!
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Fundi wa nguo asiyeona aliye maarufu sana Tanzania
10 years ago
Michuzi22 Jun
AIRTEL FURSA "TUNAKUWAWEZESHA" YAMUWEZESHA FUNDI NGUO, BETHA BENEDICT MKAZI WA BUNJU JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1261.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2183.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/3152.jpg)
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjblvMRO8CJOGM1yIbdf4XdGfc*BP62brNkfEnYSFe2k0JaR8nd7Uo5a-9dloK1MvZEuTXrgylg*I62OaWtwZo4uu/FRONT.jpg?width=650)
DIAMOND AMCHEFUA WEMA
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-9TKtzFGK_8Q/U6rwhJUxnEI/AAAAAAAABQk/sVf5aBlbJaI/s72-c/Kafulila.jpg)
Kafulila amchefua Werema
Anusurika kuchapwa makonde bungeni Sitta, Wasira waingilia kati kumwokoa
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), jana alichafua hali ya hewa bungeni na kunusurika kuchapwa makonde kwa kumtolea kauli za kuudhi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9TKtzFGK_8Q/U6rwhJUxnEI/AAAAAAAABQk/sVf5aBlbJaI/s1600/Kafulila.jpg)
Pia Kafulila ametakiwa kukabidhi ushahidi alio nao kuhusiana na malipo yaliyofanywa kwa Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),...
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Waziri amchefua Magufuli
*Aomba Watanzania wamtetee kwa uamuzi atakaochukua
Na Bakari Kimwanga, Muleba
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameahidi kushughulika na mmoja wa mawaziri aliyegawa ranchi za mifugo kiholela.
Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika miji ya Muleba na Kamachumu mkoani Kagera.
Alisema hawezi kukubali kuona wananchi wanaendelea kuteseka wakati watu fulani wanamiliki ranchi hizo, huku...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cCUXdfhEw_c/XlU-6_TJYaI/AAAAAAALfWU/WTQSUL2lR-YPj9Tr1_ZLrfxPY55sWZ1ewCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Mkandarasi amchefua waziri Mbalawa mkoani Njombe
![](https://1.bp.blogspot.com/-cCUXdfhEw_c/XlU-6_TJYaI/AAAAAAALfWU/WTQSUL2lR-YPj9Tr1_ZLrfxPY55sWZ1ewCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Waziri wa maji Prof.Makame Mbalawa ameagiza kuwekwa kizuizini msimamizi wa ujenzi wa mradi wa maji wa Igando Kijombe unaotekelezwa na kampuni ya STC JV YELL LMT wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe Erick Mlema kwa kushindwa kukamilisha mradi kwa wakati.
Waziri Mbalawa amesema mpaka sasa mradi umefikia asilimia 17 pekee huku wananchi wakilalamikia kero ya upatikanaji wa maji wilayani humo.
Mradi wa Igando- kijombe unatajwa kugharimu takribani billioni 12 na ulianza...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10