Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER: BORA NIWE FUNDI NGUO

Shani Ramadhani Na Mayasa Mariwata/Amani
STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ ameamua kuanika ukweli kuwa sasa hivi anataka kuwa fundi wa kushona nguo ili kuepukana na ‘masnichi’ waliopo kwenye tasnia ya uigizaji. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ akipozi. Akizungumza na Amani, Wolper alisema ameamua kujikita huko kwa sababu ameona Bongo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FUNDI NGUO AMCHEFUA DAVINA

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amechefuliwa vibaya na fundi wa nguo kwa kumcheleweshea nguo ya sare na kumfanya ashindwe kuivaa kwenye shughuli ya msanii mwenzake, Vanitha Omari. Staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akipiga stori na mwandishi wetu katika shughuli hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mawela Sinza, jijini Dar, Davina alisema...

 

9 years ago

BBCSwahili

Fundi wa nguo asiyeona aliye maarufu sana Tanzania

Abdallah Nyangalio, 56, ni fundi wa nguo hodari licha ya kutoona na amekutana na watu maarufu akiwemo aliyekuwa Rais Jakaya Kikwete na mke wa rais wa zamani Anne Mkapa.

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL FURSA "TUNAKUWAWEZESHA" YAMUWEZESHA FUNDI NGUO, BETHA BENEDICT MKAZI WA BUNJU JIJINI DAR

????????????????????????????????????Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia), akizungumza wakati wa hafla ya kukabdhi mashine ya cherehani yakushonea nguo kwa fundi wa kushona nguo, Betha Benedict mkazi wa Bunju Jijini Dar es Salaam baada ya kuwezeshwa na mpango wa Airtel Fursa “Tunakuwezesha” (katikati), Betha Benedict aliyewezeshwa na mpango huo, na kushoto ni mama yake Betha Benedict.????????????????????????????????????Mama yake Betha akiishukuru Kampuni ya Airtel kwakumuwezesha Mwanae kwakupitia mpango wa Airtel Fursa “Tunakuwezesha”????????????????????????????????????

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper: Sikuwahi Kuvaa Nguo Fupi...Lakini Leo Beach..!!!!

Mrembo na mwigizaji wa kike wa filamu hapa nchini, Jackline Masawe “Wolper” amekuwa akisifiwa kwa kuvaa nguo za heshima ukilinganisha na mavazi wanayovaa baadhi ya mastaa wengine hapa Bongo wakiwa mitaani au kwenye burudani.Sasa jana mrembo huyu akatupia picha hizi akiwa beach amevalia ka-pensi keupe huku juu amavalia brauzi nyeusi na kofia nyeupe kichwanina huku akicheza na ka-"DOG" ..Kisha akawaandikia hivi mashabiki wake;

"Sikuwahi kuvaa nguo fupi wakati naenda kanisani au sokoni nawakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niwe wa mwisho kumpa 5 Malinzi

TANGU uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani, umekuwa ukifanya hiki na kile kwa lengo la kuyafikia malengo yake ya kuinua kiwango...

 

11 years ago

GPL

PRODYUZA: WEMA ALITAKA NIWE KUWADI

Na Stori: Shakoor Jongo
BAADA  ya kudaiwa kufanya ngono katika magari ya Kampuni ya Endless Fame inayoongozwa na Wema Issac Sepetu, Prodyuza, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ amefunguka na kusema chanzo cha yote ni mshahara  na ukuwadi ndani ya kampuni hiyo wala siyo uzinzi, Amani linakujuza. Prodyuza Rashid Mohammed ‘Chid Classic’. Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, Chid amesema hajafukuzwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Bayi: Uwindaji ulinifanya niwe mwanariadha

Alivunja rekodi ya dunia kwa dakika tatu  katika mbio za mita 1,500 kwenye Michezo ya  Madola huko New Zealand.

 

10 years ago

Mwananchi

Loveness: Natamani niwe mkufunzi wa michezo

Licha ya kuwa ndiye mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa shule za Sekondari (Umisseta) ya msimu huu, Loveness Daudi amekuwa akitumika kama mchezaji kiraka wa Kanda ya Ziwa Magharibi katika mchezo wa netiboli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani