Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fundi wa nguo asiyeona aliye maarufu sana Tanzania

Abdallah Nyangalio, 56, ni fundi wa nguo hodari licha ya kutoona na amekutana na watu maarufu akiwemo aliyekuwa Rais Jakaya Kikwete na mke wa rais wa zamani Anne Mkapa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Fundi asiyeona aliyemshonea Kikwete shati

Bw Abdallah Nyangalio ni fundi wa nguo asiyeona na ambaye amekuwa maarufu Tanzania kiasi kwamba aliwahi kumshonea Rais Jakaya Kikwete shati.

 

9 years ago

BBCSwahili

Fundi stadi asiyeona aliyemshonea Kikwete shati

Bw Abdallah Nyangalio ni fundi wa nguo asiyeona na ambaye amekuwa maarufu Tanzania kiasi kwamba aliwahi kumshonea Rais Jakaya Kikwete shati.

 

11 years ago

GPL

FUNDI NGUO AMCHEFUA DAVINA

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amechefuliwa vibaya na fundi wa nguo kwa kumcheleweshea nguo ya sare na kumfanya ashindwe kuivaa kwenye shughuli ya msanii mwenzake, Vanitha Omari. Staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akipiga stori na mwandishi wetu katika shughuli hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mawela Sinza, jijini Dar, Davina alisema...

 

10 years ago

GPL

WOLPER: BORA NIWE FUNDI NGUO

Shani Ramadhani Na Mayasa Mariwata/Amani
STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ ameamua kuanika ukweli kuwa sasa hivi anataka kuwa fundi wa kushona nguo ili kuepukana na ‘masnichi’ waliopo kwenye tasnia ya uigizaji. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ akipozi. Akizungumza na Amani, Wolper alisema ameamua kujikita huko kwa sababu ameona Bongo...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL FURSA "TUNAKUWAWEZESHA" YAMUWEZESHA FUNDI NGUO, BETHA BENEDICT MKAZI WA BUNJU JIJINI DAR

????????????????????????????????????Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia), akizungumza wakati wa hafla ya kukabdhi mashine ya cherehani yakushonea nguo kwa fundi wa kushona nguo, Betha Benedict mkazi wa Bunju Jijini Dar es Salaam baada ya kuwezeshwa na mpango wa Airtel Fursa “Tunakuwezesha” (katikati), Betha Benedict aliyewezeshwa na mpango huo, na kushoto ni mama yake Betha Benedict.????????????????????????????????????Mama yake Betha akiishukuru Kampuni ya Airtel kwakumuwezesha Mwanae kwakupitia mpango wa Airtel Fursa “Tunakuwezesha”????????????????????????????????????

 

10 years ago

BBCSwahili

Msanii asiyeona wa kazi za mikono

Msanii wa kazi za mikono asiyeona kutoka Uganda, ameweza kuendeleza kipaji chake cha sanaa tofauti na ilivyotegemewa.

 

9 years ago

Habarileo

Majambazi wanne waua asiyeona na mwanawe

WATU wanne wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia duka la mfanyabiashara Aloyce Lusoka wa Holili wilayani Rombo na kupora kiasi cha fedha kisichojulikana, kisha kumuua kwa risasi mama asiyeona na mwanawe, waliokuwa karibu na duka hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Maarufu wa Tanzania aacha muziki kutokana na msongo wa mawazo

Vanessa mdee ni miongoni mwa wanamuziki maarufu wa kike nchini Tanzania na barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani