Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msanii asiyeona wa kazi za mikono

Msanii wa kazi za mikono asiyeona kutoka Uganda, ameweza kuendeleza kipaji chake cha sanaa tofauti na ilivyotegemewa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini maonyesho ya kazi za mikono za Kitanzania

DSC_2008

Mfanyabiashara wa vifaa vya mapambo ya ndani vyenye asili ya Kitanzania wa duka la Zamani Dhow, Bw. Nordety Cornellius akiwahudumia wateja waliofika bandani kwake wakati wa maonyesho ya bidhaa za mapambo yaliodhaminiwa na kampuni ya Tigo mwishoni mwa wiki.

DSC_2010

DSC_1969

Wateja waliohudhuria maonyesho ya kazi za mikono za Kitanzania wakiangalia bidhaa mbalimbali, maonyesho hayo yaliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam, kampuni ya Tigo ilikuwa wadhamini.

DSC_2013

DSC_1921

 

 

11 years ago

Michuzi

DK. Shein atembelea Chuo cha mafunzo ya kazi za mikono wanawake India

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiangalia vifaa mbali mbali katika chuo cha mafunzo ya Amali  kichofundisha wanawake pekee kutoka nchi mbali mbali Duniani ikiwemo Zanzibar,katika cha  Tilonia,Wilaya ya  Ajmer Jimbo la Rajastan akiwa  katika siku ya pili ya ziara yake Nchni India pamoja na Ujumbe aliofuatana nao  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea zawadi mara alipowasili katika Chuo cha Mafunzo ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake

Miriam Mawira : alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanikisha kazi zake, changamoto hiyo si kikwazo kwake

 

10 years ago

GPL

MH. NASSARY ASHIRIKI KAZI ZA MIKONO NA WANANCHI KWA UJENZI WA BARABARA YA SAWMILL- USHILI MPAKA SURA, ARUMERU MASHARIKI

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary (anaeonekana kunyanyua kitu) akishirikiana na baadhi ya Wananchi wa vijiji vya Ushili na Sura Arumeru Mashariki kuchimba sehemu inayotakiwa kupita barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary akiendelea na kazi hiyo kwa kushirikiana na Wananchi… ...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Nassary ashiriki kazi za mikono na wananchi kwa Ujenzi wa barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura,Arumeru Mashariki

 Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary (anaeonekana kunyanyua kitu) akishirikiana na baadhi ya Wananchi wa vijiji vya Ushili na Sura Arumeru Mashariki kuchimba sehemu inayotakiwa kupita barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary akiendelea na kazi hiyo kwa kushirikiana na Wananchi wake.Kazi ikiendelea.
Mapumziko kwa chakula cha mchana mara baada ya kuchapa kazi ya kutengeneza barabara.

 

11 years ago

Michuzi

introducing kazi za msanii ashery mkama wa dar es salaam

Msanii Ashery Mkama wa Dar es salaam amefika ofisi za Globu ya Jamii na kutambulisha kazi zake zilizokamilika za  sanamu za wanyama mbalimbali alizotengeneza kwa kutumia karatasi . Anasema yeye ana uwezo wa kutengeneza sanamu ya mnyama yeyote ama kitu chochote kile. Ukihitaji huduma zake mwandikie kwa kutumia email ya asherymkama@gmail.com

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba afanya kazi na msanii mwingine wa Uganda, ‘Kleyah’

Teaser-1Barnaba amefanya collabo na msanii wa Uganda, Kleyah. Wawili hao wanarekodi wimbo uitwao ‘Msobe Msobe katika studio za High Table zinazomilikiwa na Barnaba. Barnaba ameiambia Bongo5, “Kleyah alinitafuta kupitia simu alipewa namba yangu kupitia kituo kimoja hivi cha redio. Ni msanii ambaye mwenye uwezo mkubwa sana na sikutegemea kama msanii kama huyu anaweza kunitafuta maana […]

 

9 years ago

Habarileo

Majambazi wanne waua asiyeona na mwanawe

WATU wanne wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia duka la mfanyabiashara Aloyce Lusoka wa Holili wilayani Rombo na kupora kiasi cha fedha kisichojulikana, kisha kumuua kwa risasi mama asiyeona na mwanawe, waliokuwa karibu na duka hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani