Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVINA NIWAPO CHUMBANI NI MWENDO WA NGUO LAINIII!

Leo kwenye safu yetu hii tunaye mwanadada kutoka kwenye tasnia ya filamu Bongo anayefahamika kwa jina la Davina lakini jina alilopewa na wazazi wake ni Halima Yahaya. Kama ilivyo ada naye anajibu maswali 10 yahusuyo maisha yake binafsi na kisanii ambayo paparazi wetu Hamida Hassan alimbana na aliyajibu kama ifuatavyo; Mkali katika tasnia ya filamu bongo, Halima Yahaya 'Davina'. Ijumaa: Najua una dada wa kazi, unapokuwa nyumbani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FUNDI NGUO AMCHEFUA DAVINA

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amechefuliwa vibaya na fundi wa nguo kwa kumcheleweshea nguo ya sare na kumfanya ashindwe kuivaa kwenye shughuli ya msanii mwenzake, Vanitha Omari. Staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akipiga stori na mwandishi wetu katika shughuli hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mawela Sinza, jijini Dar, Davina alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi

Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.

Gazeti hilo limedai kuwa Davina  alisema kuwa  anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.

Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE LIVE CHUMBANI

Stori: Gladness Mallya
KABANG! Picha za staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole Kiuno’ zinazomuonesha live akiwa chumbani tena kitandani kimahaba na mwandani wake, Nuh Mziwanda zimevuja, Risasi Jumammosi linazo kwenye makabrasha yake. Staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole Kiuno’. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Shilole, picha hizo walijipiga...

 

11 years ago

Habarileo

Ajinyonga chumbani kwake

MKAZI mmoja wa Ukonga aliyetambulika kwa jina la Justine Tumbeza (43) amekutwa chumbani kwake amejinyonga.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto afichwa chumbani miezi 4

Mtoto mdogo wa miezi 11 amekutwa akiwa amefichwa kwenye chumba kichafu kwa takriban miezi minne.

 

10 years ago

GPL

BATULI AANIKA MAMBO YA CHUMBANI

Stori: Laurent Samatta/Amani
STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefungukia mambo yake ya chumbani na kuanika kuwa anapenda kuvaa kufuli zenye rangi tofauti. Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’. Akizungumza na mwanahabari wetu, Batuli ambaye anaendelea kufanya vizuri Bongo Movies kila kukicha, alisema kama binadamu wengine na yeye linapofika suala la viwalo hivyo vya...

 

11 years ago

Habarileo

Akutwa amekufa chumbani kwake

MFANYABIASHARA Mkazi wa Kigogo, Kinondoni, Idd Abdalah (31) amekutwa amekufa chumbani kwake huku mwili wake ukiwa hauna jeraha lolote.

 

10 years ago

Mtanzania

Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani

Na Asifiwe George, Dar es Salaam

MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.
Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani hakuacha ujumbe wowote.
“Mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke...

 

9 years ago

Global Publishers

Makosa wafanyayo wapenzi wawapo chumbani-2

Blog-pic-couple-cuddling-4441652 (1)Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama kutoka mwaka 2015 mpaka leo hii tunapouanza mwaka mwingine wa 2016. Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu mzuri. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa kina kuhusu makosa wanayoyafanya wanandoa wengi wawapo vyumbani na wenzi wao.Leo tunaendelea kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita.

2. KUWA BIZE NA SIMU AU TV MUDA WA KULALA
Utandawazi umekuja na mambo mengi, simu zenye intaneti (smartphones)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani