FUNDI AUWA, ATUPWA BWAWANI
Chande Abdallah na Deogratius Mongela FUNDI ujenzi aliyefahamika kwa jina la Omari Mkulu (25) amedaiwa kuuawa na kutupwa ndani ya bwawa baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani kwa takriban siku tatu. Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Omari Mkulu (25) ambaye alikuwa fundi wa ujenzi. Tukio hilo lilitokea maeneo ya Mabwawa Saba, Mabibo jijini Dar ambapo majirani wa eneo hilo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mwanamume auwa ili kujiliwaza Brazil
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Mwanajeshi wa Rwanda auwa wenzake CAR
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Aug
Dr Shein atinga Bwawani
Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dr Ali Mohammed Shein ameingia ukumbu wa Bwawani kukabidhiwa form yake ya kuwa mgombea rasmi wa CCM. Akisindikizwa na wapenzi, wapanda pikipiki na viongozi kadha amekwenda na msafara mzito Vikosi […]
The post Dr Shein atinga Bwawani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA MZANZIBAR SALAMA BWAWANI ZANZIBAR
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Oct
Tangazo:Hakuna kulala mpaka kieleweke’ Bwawani
The post Tangazo:Hakuna kulala mpaka kieleweke’ Bwawani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
CGP Minja akabidhi basi Bwawani sekondari
JESHI la Magereza nchini limeikabidhi shule ya Sekondari Bwawani basi lenye thamani ya sh milioni 120 kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za gharama ya usafiri na juhudi ya kukuza...
10 years ago
GPLDENTI KIDATO CHA KWANZA AFIA BWAWANI!
11 years ago
Mwananchi07 May
Vifo hivi vya maji bwawani vingeweza kuepukika
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Ridhiwani azindua vyumba vya madarasa shule ya Magereza ya Bwawani
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi jengo la vyumba vya madarasa katika Shule ya Sekondari ya Bwawani katika Kijiji cha Visakazi Jimbo la Chalinze. Shule hiyo inamilikiwa na Jeshi la Magereza.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Ridhiwani akivishwa skafu na mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Bwawani alipowasili katika shule hiyo leo.
Ridhiwani akiwa amekabidhiwa shada la maua.
Ridhiwani akikagua gwaride la...