Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamume auwa ili kujiliwaza Brazil

Mwanamume mmoja raia wa Brazil ambaye amekiri kuwa muuaji wa zaidi ya watu 40 amesema kuwa yeye hufanya hivyo ili kujiliwaza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FUNDI AUWA, ATUPWA BWAWANI

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
FUNDI ujenzi aliyefahamika kwa jina la Omari Mkulu (25) amedaiwa kuuawa na kutupwa ndani ya bwawa baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani kwa takriban siku tatu. Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Omari Mkulu (25) ambaye alikuwa fundi wa ujenzi. Tukio hilo lilitokea maeneo ya Mabwawa Saba, Mabibo jijini Dar ambapo majirani wa eneo hilo… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi wa Rwanda auwa wenzake CAR

Askari wa Rwanda katika kikosi cha kuweka amani Jamhuri ya Afriya Kati auwa wenzake wane

 

10 years ago

BBCSwahili

Achumbia mwanamke akidhani ni mwanamume

Msichana aliyempenda mpenziwe wa dhati nchini Uingereza hakuamini alipogundua kuwa mwanamume huyo alikuwa amezaliwa msichana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamume ajaribu kumuigiza Lowassa

Kando na siasa, kumekuwepo na uigizaji wakati wa kampeni. Bwana huyu alikuwa akimuigiza mgombea urais wa Chadema Edward Lowassa eneo la Maisara, Zanzibar. Alifanikiwa?

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamume mwenye wapenzi 17,China.

Mwanamume mmoja nchini China, aliomba ardhi ipasuke baada ya kupata ajali na kutembelewa na mabibi zake kumi na saba, hospitali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamume agongwa na treni, afa

MWANAMUME anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 hadi 30, amefariki dunia baada ya kugongwa na treni, eneo la Mabibo Muleba, Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamume aliyenunua Google $12 azawadiwa

Mwanamume mmoja aliyefanikiwa kununua na kumiliki anwani ya Google.com kwenye mtandao kwa $12 pekee amezawadiwa na kampuni hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Afungwa kwa `kubambikia’ mwanamume mtoto

MAHAKAMA ya Mwanzo Old Shinyanga katika Manispaa ya Shinyanga, imemhukumu Pendo Joachim (33) mkazi wa kijiji hicho, kutumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Sh milioni moja.

 

9 years ago

Mtanzania

Rose Ndauka: Napenda mwanamume mchapakazi

rosendauNA RHOBI CHACHA

MSANII wa Filamu za kibongo, Rose Ndauka, ameibuka na kudai kwamba yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza.

“Mimi napenda mwanamume anayejielewa, mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea lakini si mwanamke ninayependa pesa kuliko utu na mapenzi ya kweli,’’ alijinadi Rose na kuongeza:

“Unajua pesa sio kikwazo katika maisha yangu, kwa sababu najua kuitafuta hivyo siwezi kubweteka kwa kutaka mwanamume...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani