Mwanamume aliyenunua Google $12 azawadiwa
Mwanamume mmoja aliyefanikiwa kununua na kumiliki anwani ya Google.com kwenye mtandao kwa $12 pekee amezawadiwa na kampuni hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Android Authority10 Mar
Google Pixel 4a video leak doesn't leave much for Google to announce
Google Pixel 4a video leak doesn't leave much for Google to announce Android AuthorityGoogle Pixel 4a stars in hands-on video review, most specs revealed - GSMArena.com news GSMArena.comLeaked Pixel 4a video review reveals specs: packs Snapdragon 730 soc, 3080mAh battery and more gizmochinaPixel 4a leaks in first hands-on video confirming Snapdragon 730, 6GB RAM, more [Video] 9to5GoogleGoogle Pixel 4a Spied In Hands-On Video Rocking 5.8-Inch Full HD+ Display And Snapdragon 730 Hot...
5 years ago
Android Authority21 Feb
Google bans 600 apps from Google Play Store
Google bans 600 apps from Google Play Store Android AuthorityGoogle Pixel 5 will support reverse wireless charging, hidden Android 11 code reveals - GSMArena.com news GSMArena.comThe most interesting new Android 11 features so far The VergeAndroid 11 Developer Preview is here, install it now! Android AuthorityAndroid 11 is now available in Developer Preview form, here's what's new - GSMArena.com news GSMArena.comView Full coverage on Google...
5 years ago
Android Authority22 Feb
Google: Don't sideload Google apps on Huawei phones
Google: Don't sideload Google apps on Huawei phones Android AuthorityGoogle addresses Huawei ban and warns customers not to sideload apps like Gmail and YouTube The VergeGoogle Warns Customers Against Sideloading Android Apps on ‘Uncertified’ Huawei Phones Sputnik InternationalAndroid App Giant With Hundreds Of Millions Of Users Wiped From Play Store: Here’s What You Do Now ForbesGoogle is cracking down on Android apps that track your location in the background The VergeView Full...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsGPsANl-m4YvbcIpYWOZjdeoidcD8ke-k2Q8RN-CuZRe3EW-NGgxkAHr3JKGYWq81wjbcgqxAAqxF60j7JxWEa/mesi.gif?width=650)
Messi wa Simba azawadiwa gari
Kiungo nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’. Na Mwandishi Wetu
KIUNGO nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ amepata baraka baada ya kupewa zawadi ya gari na mwanachama wa klabu hiyo. Mwanachama wa siku nyingi wa Simba, Musley Luwah ambaye amekuwa karibu na klabu ya Simba tokea akiwa mtoto mwaka 1977, ndiye aliyetoa zawadi hiyo. Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Simba zinaeleza mwanachama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YmIMYwp237o6uEuLoFwHEhk49Qd28p8LiQDtQxw*pbiJ-JhV-XjarlzfjVzxCikR8J1PTEtmFLjBvYppPTRGkox/devota.jpg?width=650)
MIAKA 20 YA NDOA, DEVOTA AZAWADIWA GARI
Stori: Hamida Hassan Katibu Msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devota Mbaga amezawadiwa gari aina ya Toyota Harrier Lexus na mumewe aliyemtaja kwa jina la Mr. Mbaga baada ya kudumu katika ndoa kwa muda wa miaka 20. Devota Mbaga Akizungumza na Ijumaa, Devota alisema anamshukuru Mungu kwa kukaa katika ndoa yake kwa amani na hatimaye kutimiza miaka hiyo kwani ni wachache wanaotimiza umri huo.… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcmA1Ss2XWIMRcbylNPrdmhMmgjGVnceu25Th26Etf-zaIUpVXlyarfw-qAr0El-o*ldxObD2RipX1ImOZ7KbEAW/belina.jpg?width=650)
BELINA AZAWADIWA ZAWADI YA RUBBY NA MPENZI WAKE
Na Imelda Mtema
SIKU chache baada ya kujifungua mtoto wa kike aliyempa jina la Naila, mwanamitindo maarufu Bongo, Belina Mgeni amezawadiwa hereni na cheni vyenye vito vya rubby na mpenzi wake. Mtoto wa kike wa Belina aliyempa jina la Naila. Akichonga na Weekly Exclusive, Belina alisema kuwa furaha yake imeongezeka mara dufu baada ya kupata zawadi hiyo kutoka kwa baba mtoto wake huyo (jina kapuni) ambaye pia hakumsahau na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQ41W4233gF0Gn6zd*WhTSSKnZ--5-7y8BPHi*Han1Prq-WILvyzOikmjZCqLmiEjhFIpHpX5tOKl-mwdLZBLZd/WP_20140705_013.jpg)
MSOMAJI CHAMPIONI KANDA YA ZIWA AZAWADIWA SIMU
Msomaji wa Championi Kanda ya Ziwa, Gloria Kalisa, mkazi wa Kilimahewa jijini Mwanza akikabidhiwa zawadi yake ya simu na Masumbuko Ally ambaye ni mwakilishi wa Global wa Kanda hiyo katika ofisi za Global Publishers zilizopo Mwanza. Kutoka kulia ni Henry Susuma, Mohamed Kapua na aliyechuchumaa ni Abel Manase wakishuhudia.â€
11 years ago
Habarileo07 Jul
Meghji azawadiwa kwa kukaa miaka 9 Wizara ya Maliasili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imemzawadia aliyewahi kuwa waziri wake, Zakhia Meghji kwa kuwa pekee aliyeiongoza kwa muda mrefu.
10 years ago
Vijimambo07 Feb
MTEMBEAJI WA MIGUU WA MAILI 21 KILA SIKU HATIMAE AZAWADIWA GARI
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/02/2542322A00000578-2935860-image-a-26_1422850054021.jpg)
![](https://fbexternal-a.akamaihd.net/safe_image.php?d=AQDRFdkaJ_JHr0J2&w=470&h=246&url=https%3A%2F%2Ffbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net%2Fhphotos-ak-xfp1%2Ft31.0-8%2Fs720x720%2F1957922_790127894375979_6415494566959589772_o.jpg&cfs=1&upscale=1&sx=0&sy=0&sw=720&sh=377)
![](http://www.gannett-cdn.com/-mm-/2f13a0af1368f9e7bf8486b79cf4b61006cbf62e/c=0-146-2400-1496&r=x1803&c=3200x1800/local/-/media/DetroitFreePress/2015/02/06/B9316150838Z.1_20150206134644_000_GCP9SS8OR.1-0.jpg)
James Robertson mkaazi wa Detroit aliyetembea maili 21 kwenda kazini kwa takribani muongo mmoja hatimaye apata gari baada habari zake kuenea kwenye mitandao.
James Robertson ambaye amekua akitembea kwa miguu maili 21 kila siku aliitwa kwenye kampuni inayouza magari na kupewa gari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania