MSOMAJI CHAMPIONI KANDA YA ZIWA AZAWADIWA SIMU
![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQ41W4233gF0Gn6zd*WhTSSKnZ--5-7y8BPHi*Han1Prq-WILvyzOikmjZCqLmiEjhFIpHpX5tOKl-mwdLZBLZd/WP_20140705_013.jpg)
Msomaji wa Championi Kanda ya Ziwa, Gloria Kalisa, mkazi wa Kilimahewa jijini Mwanza akikabidhiwa zawadi yake ya simu na Masumbuko Ally ambaye ni mwakilishi wa Global wa Kanda hiyo katika ofisi za Global Publishers zilizopo Mwanza. Kutoka kulia ni Henry Susuma, Mohamed Kapua na aliyechuchumaa ni Abel Manase wakishuhudia.â€
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 May
Tigo yazindua usajiri wa kuzaliwa kupitia simu za mkononi kwa kanda ya Ziwa
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Ummy Mwalimu(kushoto)akionyesha moja kati ya simu 350 zilizotolewa na Kampuni ya Tigo kwa ajili ya mkakati wa usajili wa watoto waliozaliwa wenye umri chini ya miaka mitano kwa njia ya simu kwa kutumia mtandao wa Tigo,wakati wa uzinduzi uliofanyika Mkoani Mwanza jana, kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa Ali Maswanya,Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa usajili,ufilisi na udhamini(RITA) Emmy...
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mbili kutoka Kanda ya Ziwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXVQ5DuD1Qace9dDRPZtINoNG22-WYX83HqDgiupkHqnpoqNecrgirS0f8wnmXHo29ODi1eqyT1URYlkPvXSjDCk/3.jpg?width=650)
MAGUFULI GUMZO KANDA YA ZIWA!
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mashabiki kanda ya Ziwa wastaarabu.
10 years ago
Vijimambo"IMETOSHA" YAJITAMBULISHA KANDA YA ZIWA
9 years ago
Habarileo16 Aug
Waandishi Kanda ya Ziwa wafundwa
WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari hususan za uchunguzi wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Lowassa atesa kanda ya Ziwa
Na Waandishi Wetu
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameendelea kutesa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa anakopita kutafuta wadhamini akitafuta kuteuliwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa alianza kusaka wadhamini alipotua mkoani Mwanza wiki iliyopita ambako alipata mapokezi makubwa huku maelfu ya wana CCM wakijitokeza kumdhamini.
Hadi sasa Lowassa ametembelea mikoa ya Mwanza ambapo alidhaminiwa na wanachama 2676 , Geita, Mara, Mjini na Magharibi Zanzibar na Kaskazini na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UPJrPURGqlw/XqQE1LREBpI/AAAAAAAC35o/8yvxtjCTDKMlLnbmJ06dSaFk87sZypFLwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
MIKOA YA KANDA YA ZIWA YAKUMBWA NA TETEMEKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UPJrPURGqlw/XqQE1LREBpI/AAAAAAAC35o/8yvxtjCTDKMlLnbmJ06dSaFk87sZypFLwCLcBGAsYHQ/s400/1.webp)
Mjolojia Mwandamizi kutoka taasisi ya Jiolojia Bwana Gabriel Mbogoni amesema Tetemeko hilo lina ukubwa wa 4.6 katika Vipimo vya Richta.
Bwana Mbogoni amesema Tanzania imepitiwa na mkondo wa bonde la ufa la Afrika Mashariki ikiwa na mikondo miwili mkondo wa Mashariki na mkondo wa Magharibi hivyo matukio ya mateteko ya ardhi...
11 years ago
Habarileo13 Apr
Ndoa za utotoni zakithiri Kanda ya Ziwa
MIKOA ya Kanda ya Ziwa na Magharibi ina huduma zisizoridhisha za uzazi wa mpango, kutokana na kuwa na viashiria vingi vya ndoa za utotoni.