Waandishi Kanda ya Ziwa wafundwa
WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari hususan za uchunguzi wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...
10 years ago
Vijimambo"IMETOSHA" YAJITAMBULISHA KANDA YA ZIWA
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mashabiki kanda ya Ziwa wastaarabu.
10 years ago
GPL
MAGUFULI GUMZO KANDA YA ZIWA!
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mbili kutoka Kanda ya Ziwa
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Lowassa atesa kanda ya Ziwa
Na Waandishi Wetu
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameendelea kutesa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa anakopita kutafuta wadhamini akitafuta kuteuliwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa alianza kusaka wadhamini alipotua mkoani Mwanza wiki iliyopita ambako alipata mapokezi makubwa huku maelfu ya wana CCM wakijitokeza kumdhamini.
Hadi sasa Lowassa ametembelea mikoa ya Mwanza ambapo alidhaminiwa na wanachama 2676 , Geita, Mara, Mjini na Magharibi Zanzibar na Kaskazini na...
10 years ago
Raia Mwema23 Sep
CCM, Chadema hapatoshi Kanda ya Ziwa
HEKAHEKA za kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeendelea kushika kasi katika Kanda ya Ziwa ambapo mchuano
Christopher Gamaina
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Kanda ya Ziwa wawachambua Magufuli, Slaa
WAKAZI mbalimbali wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wamewachambua wagombea urais, Dk.
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Albino mwingine atekwa Kanda ya Ziwa