Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamume mwenye wapenzi 17,China.

Mwanamume mmoja nchini China, aliomba ardhi ipasuke baada ya kupata ajali na kutembelewa na mabibi zake kumi na saba, hospitali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamume mwenye jina sawa na Taylor Swift

Mwanamume mmoja nchini Marekani amekuwa akikabiliwa na wakati mgumu kutokana na kuwa na jina sawa na mwanamuziki Taylor Swift.

 

9 years ago

Bongo5

Tetesi: Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian mwenye watoto watatu ni wapenzi?

justin-kourtney-435

Huenda Justin Bieber akawa amechoka kuwa na uhusiano na wasichana wenye umri sawa na wake na sasa anataka kulelewa.

justin-kourtney-435

Kuna tetesi kuwa Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian, Kourtney ni wapenzi. Kourtney ana watoto watatu aliozaa na Scott Dissick.

Bieber, 21 na Kourtney, 36, wameonekana kuwa karibu kuliko kawaida siku za hivi karibuni.

Bieber alizikuza zaidi tetesi hizo baada ya kuweka picha hiyo chini na kuandika, “Lord knows” na wengi kutafsiri kama ni diss kwa Dissick ambaye hujiita...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao

Ripoti inasema kuwa asilimia 61 ya wanawake waliuawa na wanaume au waliuliwa na wapenzi wao wa sasa au wa zamani.

 

10 years ago

Vijimambo

Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu

Na Yericko Nyerere
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamume aliyenunua Google $12 azawadiwa

Mwanamume mmoja aliyefanikiwa kununua na kumiliki anwani ya Google.com kwenye mtandao kwa $12 pekee amezawadiwa na kampuni hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamume agongwa na treni, afa

MWANAMUME anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 25 hadi 30, amefariki dunia baada ya kugongwa na treni, eneo la Mabibo Muleba, Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamume ajaribu kumuigiza Lowassa

Kando na siasa, kumekuwepo na uigizaji wakati wa kampeni. Bwana huyu alikuwa akimuigiza mgombea urais wa Chadema Edward Lowassa eneo la Maisara, Zanzibar. Alifanikiwa?

 

10 years ago

BBCSwahili

Achumbia mwanamke akidhani ni mwanamume

Msichana aliyempenda mpenziwe wa dhati nchini Uingereza hakuamini alipogundua kuwa mwanamume huyo alikuwa amezaliwa msichana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais amzuia mwanamume kujiua Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alimshawishi mwanamume aliyetaka kujiua kwa kujirusha kutoka kwa daraja kubadilisha nia yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani