MH. TEMBA, JOKATE KUTOKA NA FUNDI
Mwanamuziki anayekimbiza kwenye game la muziki wa Kibongo, Aman Temba ‘Mh. Temba’. Boniphace Ngumije MWANAMUZIKI anayekimbiza kwenye game la muziki wa Kibongo, Aman Temba ‘Mh. Temba’ siku si nyingi anategemea kuibuka na ngoma inayoitwa Fundi, aliyoifanyia katika Studio ya Mj Records chini ya produza Marco Chali na kumshirikisha mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate.  Mwanamitindo maarufu Bongo,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Dec
Hanscana akwamisha kutoka kwa ngoma mpya ya Temba
![Temba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Temba-300x194.jpg)
Temba amedai kuwa Hanscana ndiye aliyesababisha kuharibika kwa ratiba yake ya kuachia video ya wimbo wake mpya, Fundi.
Rapa huyo ambaye miezi michache iliyopita aliwaahidi mashabiki wake kuachia wimbo ‘Fundi’ aliyowashirikisha Yamoto Band na Jokate, ameimbia Bongo5 kuwa kazi hiyo haitoweza kutoka tena mwaka huu.
“Nimeshindwa kutoa ngoma kwa sababu nilipanga kutoa audio na video lakini director Hanscana akawa amesafiri South Africa kwa short project, lakini akakaa mwezi mmoja na nusu ndio...
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Jokate Akanusha Kutoka na Millard Ayo!
Mwanamitindo na mwigizaji, Jokate Mwegelo ameucho molea vilivyo uvumi uliozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.
Uvumi huo ulianzia mitandaoni ambapo mwanahabari wetu alipomtafuta Jokate juzikati, aliweka plain ukaribu wake na Millard ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto mkubwa kwa jamii.
“Millard ni mshkaji, namkubali kutokana na uchapakazi wake, anajua kujituma na ni mpambanaji lakini nje ya hapo hakuna cha zaidi,” alisema Jokate.
Picha: Jokate akiwa...
11 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI WAKATI WA KUREKODI VIDEO MPYA YA CHEGE NA TEMBA KUTOKA TMK WANAUME
Wasanii wa Muziki wa Kizazi kipya kutoka TMK Wanaume Family,Temba na Chege wakiwa ndani ya ndege wakati wakiendelea Kurekodi Video yao mpya ambayo itatoka hivi karibuni.
Sehemu ya Wadau wa Muziki wanaoshiriki kwenye video hiyo ni pamoja na Julio,Madee na Jokate kama wanavyoonekana pichani hapa.
BOFYA HAPA KUONA PICHA KIBAO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GRHZbWpXVlA/VX8_n9LdZBI/AAAAAAADr9U/BVrGdwYgaEg/s72-c/IMG-20150612-WA0000%2B%25282%2529.jpg)
SHUKRANI KUTOKA KWA DR TEMBA KWENDA KWA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRHZbWpXVlA/VX8_n9LdZBI/AAAAAAADr9U/BVrGdwYgaEg/s640/IMG-20150612-WA0000%2B%25282%2529.jpg)
Mwalimu Flavian Temba 6-09-2015
To All: We wish to acknowledge the many expressions from friends and love one during this time bereavement. Words cannot express the strength you and the Diaspora and Bongo community have given us during this difficult time.
May Mwalimu Flavian Temba's bright spirit live on in us all. Sincerely
Temba Anicetus family
![](http://2.bp.blogspot.com/-45GzZUgnLJI/VX8_o7cwAKI/AAAAAAADr90/mcmP4x0Nn5c/s640/IMG-20150613-WA0026.jpg)
His wife, Salome Flavian Temba, family and friends giving blessing on his eternal journey in peace
![](http://3.bp.blogspot.com/-iP99oj2hCF4/VX8_pwpBGsI/AAAAAAADr-E/ja-yZyNQiFI/s640/IMG-20150613-WA0035%2B%25281%2529.jpg)
Godson Philip Kilewo, families, and...
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
5 years ago
MichuziWAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE
Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-5YwiIyenR-v2SadzK5yYauA79lAqHBiCybjVp4FWxOVT23*LvmzE5zgSb6hn2kv4wa3RCrDLlyQgYw7sJMBm0APC7fYtVIB/Temba.jpg?width=650)
NDOA YA TEMBA YAPUMULIA MASHINE
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Kapteni Temba aukacha ukapera
MKURUGENZI wa Kundi la Taarabu la ‘Funga Kazi’ lenye maskani yake Kigamboni, jijini Dar es Saalam, Kariya Temba ‘Kapteni Temba,’ ameamua kuuaga ukapera baada ya kumuoa mmoja wa waimbaji wa...