Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDOA YA TEMBA YAPUMULIA MASHINE

MWANDISHI WETU
NDOA ya msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amani James ‘Temba’ inadaiwa kupumulia mashine kutokana na madai ya kuwepo kwa usaliti baina yao. Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amani James ‘Temba’ akiwa na mke wake siku ya ndoa yao. Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na wanandoa hao wanaoishi wilayani Temeke, kinasema kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu baina...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TEMBA ENGINEERING WAMALIZA MRADI WA KUUNDA MASHINE YA KUKAUSHIA MATUNDA KWENYE SHAMBA LA UDC

Dr. Temba (kulia) akimsikiliza Mr. Franklin Moore kutoka USAID (kushoto) alipokuja kukagua mashine ya Dr. Temba ya kukaushia matunda mara tu baada ya Temba Engineering kumaliza kuiunda akisaidiwa na NY Ebra kwenye shamba la University of the District of Columbia lililopo Beltsville, Maryland.Dr. Samuel Lakeou (wapili toka kushoto)ambaye yupo kitengo cha umeme na computer engineering akifafanua jambo kuhusiana na mashine ya Dr. Temba kwa Mr. Franklin Moore kulia ni Dr. Sagun Adebayo ambaye ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’

jaji-lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.

 

9 years ago

GPL

MH. TEMBA, JOKATE KUTOKA NA FUNDI

Mwanamuziki anayekimbiza kwenye game la muziki wa Kibongo, Aman Temba ‘Mh. Temba’. Boniphace Ngumije
MWANAMUZIKI anayekimbiza kwenye game la muziki wa Kibongo, Aman Temba ‘Mh. Temba’ siku si nyingi anategemea kuibuka na ngoma inayoitwa Fundi, aliyoifanyia katika Studio ya Mj Records chini ya produza Marco Chali na kumshirikisha mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate.  Mwanamitindo maarufu Bongo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kapteni Temba aukacha ukapera

MKURUGENZI  wa Kundi la Taarabu la ‘Funga Kazi’ lenye maskani yake Kigamboni, jijini Dar es Saalam, Kariya Temba ‘Kapteni Temba,’ ameamua kuuaga ukapera baada ya kumuoa mmoja wa waimbaji wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Moto Band wafunika sherehe ya Mh. Temba

KUNDI la muziki wa kizazi kipya nchini, Ya Moto Band lenye maskani yake Temeke jijini Dar es Salaam, juzi walikuwa gumzo katika sherehe ya kumpongeza mkali wa muziki huo, Amani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mh. Temba kuipamba Serengeti Fiesta Moshi

WAPENZI na mashabiki wa muziki wa jiji la Moshi, mkoani Kilimnjaro, Jumamosi hii watapata burudani ya aina yake kupitia onyesho la nguvu maarufu kama Serengeti Fiesta katika Uwanja wa Majengo....

 

11 years ago

CloudsFM

11 years ago

Tanzania Daima

Chege, Mh. Temba wafunika Coco Beach

KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wasanii Chege Chigunda ‘Mtoto wa Mama Saidi’ na Mhe. Temba, wametoa burudani ya aina yake kwa wapenzi na mashabiki wa muziki katika tamasha maalumu la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani