Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEMBA ENGINEERING WAMALIZA MRADI WA KUUNDA MASHINE YA KUKAUSHIA MATUNDA KWENYE SHAMBA LA UDC

Dr. Temba (kulia) akimsikiliza Mr. Franklin Moore kutoka USAID (kushoto) alipokuja kukagua mashine ya Dr. Temba ya kukaushia matunda mara tu baada ya Temba Engineering kumaliza kuiunda akisaidiwa na NY Ebra kwenye shamba la University of the District of Columbia lililopo Beltsville, Maryland.Dr. Samuel Lakeou (wapili toka kushoto)ambaye yupo kitengo cha umeme na computer engineering akifafanua jambo kuhusiana na mashine ya Dr. Temba kwa Mr. Franklin Moore kulia ni Dr. Sagun Adebayo ambaye ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO

Diaspora tunachangamoto nyingi zinazo tukabili ukiachia mbali swala la uraia pacha ambalo sasa tumewekwa kama raia wa kigeni kwenye nchi yako ya kuzaliwa na kinachoangaliwa zaidi ni kitu gani umeifanyia nchi yako japo ughaibuni umekuja kutafuta sawa na Mtanzania yeyote aliyetoka mkoani na kuelekea Dar es Salaam kwa lengo lilelile analofanya mwanaDiaspora anapokuja ughaibuni.

Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA TEMBA YAPUMULIA MASHINE

MWANDISHI WETU
NDOA ya msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amani James ‘Temba’ inadaiwa kupumulia mashine kutokana na madai ya kuwepo kwa usaliti baina yao. Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amani James ‘Temba’ akiwa na mke wake siku ya ndoa yao. Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na wanandoa hao wanaoishi wilayani Temeke, kinasema kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu baina...

 

10 years ago

Dewji Blog

Up To 400 Decision-Makers Expected at the International “Engineering Symposium for Africa” Organized by Jacobs Engineering S.A

150408jesa

A concentration of influential African engineering players

 Jacobs Engineering SA (JESA) is organizing the first international symposium, “Engineering Symposium for Africa” (https://www.esa-symposium.com) around the theme of “Engineering and Innovative Technologies for Sustainable Development in Africa” in Marrakesh on Thursday, May 21st, 2015.

Video: https://www.youtube.com/watch?v=WxRQlCryNBo

This international event will feature high-level speakers: renowned experts, figures in politics,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara

001

Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA),  kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).

WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited  anaesambaza bomba la maji mradi wa...

 

10 years ago

Bongo5

Msichana aliyeigiza kwenye video ya ‘Nampenda Yeye’ ya Temba afariki dunia

Msichana aliyeigiza kwenye video ya wimbo wa Mheshimiwa Temba aliomshirikisha Dully Sykes,  ‘Nampenda Yeye’ amefariki dunia. Temba amesema msichana huyo aitwaye Batulli alifariki jana. “RIP Batuli. Amefariki jana mazishi ni leo kisutu. Dada yng mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tutakukumbuka kwa mema yote. Batuli ulijitolea kwa nguvu na mali ktk video yng ya nampenda yy […]

 

10 years ago

Bongo5

Professor Jay, Chege na Temba kutumbuiza kwenye tamasha la ‘Maisha Murua’ la Vodacom

Wapenzi wa burudani ya muziki wa kizazi kipya watapata burudani ya fungua mwaka kutoka kwa magwiji wa muziki wa kizazi kipya ambao wanatamba nchini katika tamasha la wazi la maisha murua na Vodacom katika ufukwe wa Coco beach jijini Dar es Salaam. Baadhi ya magwiji hao ni Profesa J,Temba,Chege,Roma Mkatoliki na wengineo wengi. Tamasha hili […]

 

9 years ago

MillardAyo

Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi

Hizi ni baadhi ya stori kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni leo December 29 2015 kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania. Serikali yaweka mkakati wa udhibiti wa uuzaji wa matunda kando ya barabara, kipindupindu chaendelea kuwa tishio Mwanza, mmoja afariki… iko stori pia ya Waziri Ndalichako kuahidi kurudisha heshima kwenye sekta ya elimu Tanzania. […]

The post Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi appeared first on...

 

10 years ago

Habarileo

Shamba apatikana na zao la ‘shamba’

SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani