TEMBA ENGINEERING WAMALIZA MRADI WA KUUNDA MASHINE YA KUKAUSHIA MATUNDA KWENYE SHAMBA LA UDC
Dr. Temba (kulia) akimsikiliza Mr. Franklin Moore kutoka USAID (kushoto) alipokuja kukagua mashine ya Dr. Temba ya kukaushia matunda mara tu baada ya Temba Engineering kumaliza kuiunda akisaidiwa na NY Ebra kwenye shamba la University of the District of Columbia lililopo Beltsville, Maryland.Dr. Samuel Lakeou (wapili toka kushoto)ambaye yupo kitengo cha umeme na computer engineering akifafanua jambo kuhusiana na mashine ya Dr. Temba kwa Mr. Franklin Moore kulia ni Dr. Sagun Adebayo ambaye ni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO
Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...
10 years ago
GPLNDOA YA TEMBA YAPUMULIA MASHINE
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
Up To 400 Decision-Makers Expected at the International “Engineering Symposium for Africa” Organized by Jacobs Engineering S.A
A concentration of influential African engineering players
Jacobs Engineering SA (JESA) is organizing the first international symposium, “Engineering Symposium for Africa” (https://www.esa-symposium.com) around the theme of “Engineering and Innovative Technologies for Sustainable Development in Africa” in Marrakesh on Thursday, May 21st, 2015.
Video: https://www.youtube.com/watch?v=WxRQlCryNBo
This international event will feature high-level speakers: renowned experts, figures in politics,...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara
Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA), kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).
WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited anaesambaza bomba la maji mradi wa...
10 years ago
Bongo530 Oct
Msichana aliyeigiza kwenye video ya ‘Nampenda Yeye’ ya Temba afariki dunia
10 years ago
Bongo531 Dec
Professor Jay, Chege na Temba kutumbuiza kwenye tamasha la ‘Maisha Murua’ la Vodacom
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi
Hizi ni baadhi ya stori kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni leo December 29 2015 kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania. Serikali yaweka mkakati wa udhibiti wa uuzaji wa matunda kando ya barabara, kipindupindu chaendelea kuwa tishio Mwanza, mmoja afariki… iko stori pia ya Waziri Ndalichako kuahidi kurudisha heshima kwenye sekta ya elimu Tanzania. […]
The post Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi appeared first on...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Shamba apatikana na zao la ‘shamba’
SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.