Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msichana aliyeigiza kwenye video ya ‘Nampenda Yeye’ ya Temba afariki dunia

Msichana aliyeigiza kwenye video ya wimbo wa Mheshimiwa Temba aliomshirikisha Dully Sykes,  ‘Nampenda Yeye’ amefariki dunia. Temba amesema msichana huyo aitwaye Batulli alifariki jana. “RIP Batuli. Amefariki jana mazishi ni leo kisutu. Dada yng mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tutakukumbuka kwa mema yote. Batuli ulijitolea kwa nguvu na mali ktk video yng ya nampenda yy […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

ROSE NDAUKA:Nampenda Mwangu, Yeye Ndio Mchizi Wangu!!

Mrembo na muigizaji wa  filamu , Rose Ndauke ambae ni mama wa mtoto mmoja , ameleza kwajinsi gani anavyo mpenda mtoto wake na humfanya awe na furaha wakati wote japokuwa anamlea mtoto peke yake kama “single mother” baada ya kuachana na aliekuwa mchumba wake ambae ndio baba wamtoto huyo.

Akionakana mwenye tabasamu pana akiwa amembeba mtoto wake rose alisema;

“Sasa nikiwa nae nachekaje mpaka jino mwisho nakupenda mwanangu na ndio mchizi wanguuuuu”

Jionee baadhi ya picha hapo juu akiwa maeneo...

 

10 years ago

Bongo5

Ni shida: Msichana ‘akitwerk’ kwenye wimbo wa Diamond ‘Kizaizai’ (Video)

Paki gari, weka wimbo wa Diamond ‘Kizaizai’, mpe camera rafiki yako arekodi, anza kukata viuno!!! Hicho ndicho kilichofanyika kwenye video hii inayokwenda kuishuhudia. Ni sheedah ( kwa sauti ya Madee). Hutaona sura yake lakini utaenjoy.

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ukiwa girlfriend wa mwanamuziki inabidi uliondoe neno ‘wivu’ kwenye kamusi yako kichwani!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ni kwasababu bila hivyo utaishia kuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Jux ana bahati ya kuwa na girlfriend anayeelewa kuwa muziki ni kazi na wakati mwingine unatakiwa kufanya kile mtu wa kawaida hawezi kufanya.

Vanessa Mdee amepost picha ya Jux ya kile kinachoonekana kama video yake ijayo na wimbo ‘One More Night’ na kuandika sentesi inayomaanisha kuwa pale mpenzi wake anapoonesha kuwapenda wasichana...

 

10 years ago

Vijimambo

SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO

Diaspora tunachangamoto nyingi zinazo tukabili ukiachia mbali swala la uraia pacha ambalo sasa tumewekwa kama raia wa kigeni kwenye nchi yako ya kuzaliwa na kinachoangaliwa zaidi ni kitu gani umeifanyia nchi yako japo ughaibuni umekuja kutafuta sawa na Mtanzania yeyote aliyetoka mkoani na kuelekea Dar es Salaam kwa lengo lilelile analofanya mwanaDiaspora anapokuja ughaibuni.

Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: Msanii Chipukizi G Fullah Kwenye Singo Mpya ya Joett Afariki Dunia

Niliwasiliana na G Fullah mara ya mwisho tarehe 14 September. Nilikua ninampa taarfia kwamba yumo kwenye singo yangu mpya aki-chana, na kwamba mixing na mastering inafanywa Marekani, na akafurahi sana. Nikamwambia nitamuita wiki ifuatayo tuje kuongea zaidi kuhusu project yetu. Ile wiki ilyofuatia sikumwita. Nilibanwa sana kikazi. Nikaja kumtumia SMS tarehe 27 Septemba lakini hakujibu. Nikajaribu tena tarehe 1 Octoba, hakujibu. Nikapiga simu mara kibao, hapatikani.

Jana jioni nilikua na video...

 

11 years ago

Bongo5

Kabi Gethaiga: Mkenya aliyeigiza filamu ya Going Bongo aliyeshika nafasi ya 2 kwenye usaili uliompa Lupita Nyong’o shavu la ’12 Years A Slave’

Muigizaji wa Kenya, Kabi Gethaiga aliyeigiza kwenye filamu ya kwanza Afrika Mashariki kuuzwa kupitia iTunes, Going Bongo, angekuwa ‘Patsey’ kwenye filamu ya ’12 Years A Slave’, kama Lupita Nyong’o asingekuwepo. Kabi kwenye filamu ya Going Bongo Hata hivyo kwenye usaili wa kumpata msichana aliyeigiza uhusika huo alishika nafasi ya pili, nyuma ya Lupita ambaye amegeuka […]

 

11 years ago

Dewji Blog

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne afariki Dunia

10325360_761911693831786_7288579013049174718_n

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba, tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.

R.I.P NASRA wewe mbele sisi nyuma tutakufuata, Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.

 

 

5 years ago

BBCSwahili

Mamba alienusurika mabomu ya Vita ya Pili ya Dunia afariki kwenye hifadhi ya wanyama mjini Moscow

Saturn alitolewa kama zawadi kwa hifadhi ya wanyama ya Berlin mwaka 1936 muda mfupi baada ya kuzaliwa nchini Marekani.

 

11 years ago

CloudsFM

MSICHANA ABAKWA HADI KUFARIKI DUNIA

Mfanyakazi wa ndani, Isabella Andrew (18), amefariki dunia na kifo chake kikidaiwa kusababishwa na kubakwa na watu wasiojulikana.Mwili wa msichana huyo ulikutwa ukiwa umeharibika katika moja ya pagale, lililopo Area C, Dodoma Mjini na mwandishi wetu alishuhudia ukitolewa hapo kwa machela huku polisi wakiwahoji mashuhuda wa tukio hilo.

Mkazi wa Mtaa wa Kiwanja cha Ndege, Jackson Coy aliyekuwa akiishi na binti huyo alisema msichana huyo alipotea tangu Jumamosi iliyopita.

Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani