Ni shida: Msichana ‘akitwerk’ kwenye wimbo wa Diamond ‘Kizaizai’ (Video)
Paki gari, weka wimbo wa Diamond ‘Kizaizai’, mpe camera rafiki yako arekodi, anza kukata viuno!!! Hicho ndicho kilichofanyika kwenye video hii inayokwenda kuishuhudia. Ni sheedah ( kwa sauti ya Madee). Hutaona sura yake lakini utaenjoy.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Oct
Msichana aliyeigiza kwenye video ya ‘Nampenda Yeye’ ya Temba afariki dunia
11 years ago
CloudsFM20 Jun
LINAH KUACHIA NGOMA YAKE YA KIZAIZAI 'EXCLUSIVE' KWENYE RADIO STATION ZA AFRIKA KUSINI.
Msanii wa Bongo Fleva,Linah Sangah’Lina’ kwa wakati huu yuko nchini Afrika Kusini karibu wiki ya tatu sasa akifanya shughuli za kimuziki pande hizo.
Msanii huyo akiwa nchini humo atarekodi ngoma na producer mkubwa wa nchini humo Oskido, atashuti video. Aidha Lina ataiachia ngoma yake mpya kesho katika vituo vya radio karibu vyote vikubwa vya nchini humo pamoja na kufanya interviews.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Mbu0z2Enabc/default.jpg)
Diamond akimtaja Zari kwenye wimbo wa Mr Blue 'Pesa'
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Diamond-Br.jpg?resize=456%2C264)
9 years ago
Bongo526 Nov
Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!
![12230886_926044967480796_2021833105_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12230886_926044967480796_2021833105_n-300x194.jpg)
Ukiwa girlfriend wa mwanamuziki inabidi uliondoe neno ‘wivu’ kwenye kamusi yako kichwani!
Ni kwasababu bila hivyo utaishia kuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Jux ana bahati ya kuwa na girlfriend anayeelewa kuwa muziki ni kazi na wakati mwingine unatakiwa kufanya kile mtu wa kawaida hawezi kufanya.
Vanessa Mdee amepost picha ya Jux ya kile kinachoonekana kama video yake ijayo na wimbo ‘One More Night’ na kuandika sentesi inayomaanisha kuwa pale mpenzi wake anapoonesha kuwapenda wasichana...
9 years ago
Bongo515 Dec
Wema Sepetu adata na wimbo mpya wa Diamond (Video)
![wpid-wema-akiwa-pembeni-kumsupport-diamond1.jpg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/08/wpid-wema-akiwa-pembeni-kumsupport-diamond1-200x151.jpg)
Ameachana na Diamond lakini Wema Sepetu bado ni shabiki mkubwa wa nyimbo za ex wako huyo.
Malkia huyo wa filamu, amedhihirisha kuwa hana kinyongo na Diamond baada ya kuonekana akiimba wimbo mpya wa msanii huyo, Utanipenda!
Muigizaji huyo aliwahi kunukuliwa akisema ingawa ameachana na Diamond bado ataendelea kupenda muziki wake.
Video yake inayomuonesha akiuimba wimbo huu ilisambaa kutoka kwenye mtandao wa Snapchat.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
9 years ago
Bongo518 Nov
Video: Diamond atease wimbo mpya wa Tekno wa Nigeria, je ni collabo?
![tekno-miles-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tekno-miles-1-300x194.jpg)
Mkali wa ‘Duro’ Tekno Miles kutoka Nigeria anatarajia kuachia wimbo mpya wiki ijayo, baada ya kufanya vizuri na single ya ‘Duro’ ambayo imeshika chati mbalimbali za Afrika.
Mshindi wa tuzo 3 za Afrima 2015, Diamond ambaye yuko Nigeria alikoenda kwenye tuzo hizo, amewaonjesha mashabiki kupitia akaunti yake ya Instagram kionjo cha wimbo huo. Platnumz amepost video aliyojirekodi akiwa na Tekno kwenye gari yake wakisikiliza wimbo huo huku Tekno akiimba.
“Forget About DURO… we are about to...
10 years ago
Vijimambo20 Nov