TANZIA: Msanii Chipukizi G Fullah Kwenye Singo Mpya ya Joett Afariki Dunia

Niliwasiliana na G Fullah mara ya mwisho tarehe 14 September. Nilikua ninampa taarfia kwamba yumo kwenye singo yangu mpya aki-chana, na kwamba mixing na mastering inafanywa Marekani, na akafurahi sana. Nikamwambia nitamuita wiki ifuatayo tuje kuongea zaidi kuhusu project yetu. Ile wiki ilyofuatia sikumwita. Nilibanwa sana kikazi. Nikaja kumtumia SMS tarehe 27 Septemba lakini hakujibu. Nikajaribu tena tarehe 1 Octoba, hakujibu. Nikapiga simu mara kibao, hapatikani.
Jana jioni nilikua na video...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
TANZIA: MSANII MKONGWE WA FILAMU, MZEE KANKAA AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO JIONI
11 years ago
Michuzi08 Oct
Joett (ft G Fullah & Level One) - I'm Gonna Live Forever
10 years ago
GPL
TANZIA: ABDUL BONGE AFARIKI DUNIA
5 years ago
CCM Blog
TANZIA: IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA

Taarifa zilizothibitishwa na mtoto wake, Sauda Simba Kilumanga zinasema Iddi Simba amefariki katika Hospitali ya JKCI alipokuwa akipatiwa matibabu.
5 years ago
CCM Blog
TANZIA: MDOGO LOWASSA AFARIKI DUNIA

Mdogo wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa anayefahamika kwa kwa jina la Bernard Lowassa, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es salaam.
Mtoto wa Waziri Mkuu huyo Mstaafu Fred Lowassa amethibitisha hayo
"Ni kweli ndugu yetu Bernard lowassa amefariki yeye ni Baba yangu mdogo, na alikuwa amelazwa Aga Khan na hapa familia tunaenda hospitalini kwa ajili ya kukutana."- Amesema
10 years ago
GPL
TANZIA: MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL
TANZIA: CHIGWELE CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi
TANZIA: Geoffrey Boardington Gondwe afariki dunia

Ataangwa kesho(27.08.2015) kwake Kunduchi saa 6 mchana. Mazishi yatafanyika katika makaburi ya Kinondoni saa kumi jioni.
Sisi tulimpenda, lakini BWANA alipenda zaidi. Jina lake BWANA na lihimidiwe...
AMINA!
10 years ago
GPL
TANZIA: MWANAHABARI INNOCENT MANYUKU AFARIKI DUNIA