Mamba alienusurika mabomu ya Vita ya Pili ya Dunia afariki kwenye hifadhi ya wanyama mjini Moscow
Saturn alitolewa kama zawadi kwa hifadhi ya wanyama ya Berlin mwaka 1936 muda mfupi baada ya kuzaliwa nchini Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSANII PILI RAMADHANI ‘AWENA’ WA JAKAYA AFARIKI DUNIA
Pili Ramadhani ‘Awena’ wakati wa uhai wake. KUNDI la Jakaya Arts Group limepata pigo tena baada ya kumpoteza msanii mwenzao wiki mbili zilizopita ambapo kifo kimemchukua msanii mwingine ambaye ni Pili Ramadhani ‘Awena’ (33) aliyekuwa akiishi Ubungo-Kibangu jijini Dar es Salaam. Msanii huyo alifariki Jumanne wiki hii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kusumbuliwa na uvimbe kwenye...
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Japan inajutia vita vya pili vya dunia
Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe, ameeleza kusikitishwa kwake na mateso na kujitolea kwa watu wengi wakati wa vita vya pili vya dunia.
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Hifadhi ya wanyama yapata simba mpya UG
BBC imetembelea hifadhi ya wanyama pori ya Entebbe ambapo imepata simba dume mpya kutoka Afrika kusini kufuatia kufariki kwa simba dume wa pekee kibonge.
10 years ago
Michuzi13 Nov
NEWZ ALERT:msanii wa bongofleva Geez mabovu afariki dunia mjini Iringa usiku huu.
Msanii wa muziki wa bongofleva (pichani enzi za uhai wake )Ahmed Ally Upete ambaye pia alitambulika kwa jina la kisanii kama Geez Mabovu,emefariki Dunia mnamo majira ya saa moja usiku wa leo,taarifa zinaeleza kuwa Geez amekutwa na umauti nyumbani kwao mjini Iringa.Taarifa kamili tutawaletea kadiri ya zitakavyokuwa zikiingia,MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Uvamizi Hifadhi ya Tarangire watishia uhai wa wanyama
HIFADHI ya Taifa ya Tarangire ilianzishwa mwaka 1970 kwa tangazo la serikali namba 160; lengo likiwa ni kuhifadhi makimbilio ya wanyama wakati wa majira ya kiangazi. Malengo mengine ya kuanzishwa...
11 years ago
GPLMFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI
Pikipiki aina ya Suzuki ikiwa imenasa mbele ya lori baada ya kugongana uso kwa uso.
Baada ya ajali hiyo pikipiki ilibaki ikiwa imesimama baada ya kunasa chini ya lori la mafuta.…
11 years ago
MichuziMFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA)AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI
Pikipiki aina ya Suzuki ikiwa imenasa mbele ya Lori baada ya kugongana uso kwa uso .Baada ya ajali hiyo pikipiki ilibaki ikiwa imesimama baada ya kunasa chini ya Lori la mafuta.Askari wa kikosi cha usalama barabarani wakiwa katika eneo la tukio kwa ajili ya kufanya vipimo.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya Kaskazini.
Ajali mbaya imetokea barabara kuu ya Arusha Moshi ikihusisha Lori aina ya Sacania lenye namba za Usajili T 137 ATA na pikipiki aina ya Suzuki yenye namba SU 40262 mali...
Ajali mbaya imetokea barabara kuu ya Arusha Moshi ikihusisha Lori aina ya Sacania lenye namba za Usajili T 137 ATA na pikipiki aina ya Suzuki yenye namba SU 40262 mali...
10 years ago
Bongo530 Oct
Msichana aliyeigiza kwenye video ya ‘Nampenda Yeye’ ya Temba afariki dunia
Msichana aliyeigiza kwenye video ya wimbo wa Mheshimiwa Temba aliomshirikisha Dully Sykes, ‘Nampenda Yeye’ amefariki dunia. Temba amesema msichana huyo aitwaye Batulli alifariki jana. “RIP Batuli. Amefariki jana mazishi ni leo kisutu. Dada yng mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tutakukumbuka kwa mema yote. Batuli ulijitolea kwa nguvu na mali ktk video yng ya nampenda yy […]
10 years ago
MichuziTANZIA: Msanii Chipukizi G Fullah Kwenye Singo Mpya ya Joett Afariki Dunia
Niliwasiliana na G Fullah mara ya mwisho tarehe 14 September. Nilikua ninampa taarfia kwamba yumo kwenye singo yangu mpya aki-chana, na kwamba mixing na mastering inafanywa Marekani, na akafurahi sana. Nikamwambia nitamuita wiki ifuatayo tuje kuongea zaidi kuhusu project yetu. Ile wiki ilyofuatia sikumwita. Nilibanwa sana kikazi. Nikaja kumtumia SMS tarehe 27 Septemba lakini hakujibu. Nikajaribu tena tarehe 1 Octoba, hakujibu. Nikapiga simu mara kibao, hapatikani.
Jana jioni nilikua na video...
Jana jioni nilikua na video...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania