Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ya Moto Band wafunika sherehe ya Mh. Temba

KUNDI la muziki wa kizazi kipya nchini, Ya Moto Band lenye maskani yake Temeke jijini Dar es Salaam, juzi walikuwa gumzo katika sherehe ya kumpongeza mkali wa muziki huo, Amani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chege, Mh. Temba wafunika Coco Beach

KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wasanii Chege Chigunda ‘Mtoto wa Mama Saidi’ na Mhe. Temba, wametoa burudani ya aina yake kwa wapenzi na mashabiki wa muziki katika tamasha maalumu la...

 

11 years ago

GPL

CHEGGE, TEMBA WAFUNIKA DAR LIVE USIKU HUU

Mashabiki wakifatilia show ya Temba na Chegge usiku huu Dar Live Chegge (kulia) akiendelea kuwapa burudani  mashabiki usiku huu Dar Live.…

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: Mimi ni mwanzilishi wa Yamoto Band na Mkubwa Fella — Mh. Temba

Inawezekana wewe ni shabiki wa Yamoto Band, lakini ukawa haufahamu kuwa Mh temba wa TMK Wanaume Family ni miongoni mwa watu waliowatengeneza vijana hao ambao mwaka huu wamefanikiwa kwenda Uingereza kufanya show kwa mara ya kwanza. Akizungumza kupitia kipindi cha Papaso cha TBC Fm kinachoongozwa na D’Jaro Arungu na kurushwa pia kupitia TBC 1, Temba […]

 

10 years ago

GPL

TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO

Amani Temba 'Mhe. Temba'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la TMK Wanaume Family, Amani Temba 'Mhe. Temba' leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Yamoto Band. Sherehe hiyo itafanyika leo saa 3 usiku katika Ukumbi wa Equator Grill ulioko Mtoni jijini Dar ambapo burudani zitashushwa kutoka kwa Tmk Wanaume Family, Tip Top Connection, Mashauzi Classic na Yamoto Band. … ...

 

10 years ago

Dewji Blog

East Africa Vibes Concert yafana Dar: Eric Omondi, Sarabi Band, Leo Mkanyia na Grace Matata wafunika

DSC_2289Wanamuziki wa bendi ya  SARABI kutoka Kenya, ikishambulia jukwaa usiku wa jana  Agosti Mosi, wakati wa shoo  East Africa Vibes Concert iliyofanyika Nafasi Art Space, Mikocheni. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)

Na Andrew Chale

(Kinondoni-Dar es  Salaam) Usiku wa  Agosti Mosi ulikuwa ni ya kipekee kwa wadau wa burudani na vichekesho ndani ya Afrika Mashariki baada ya kushuhudia muziki wenye vionjo halisi kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wa Afrikaa Mashariki   ndani ya ukumbi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Karibu Music Festival 2015 laanza kwa kishindo, Ras Six, Msafiri Zawose, Hard Mad, Kokodo band wafunika

DSC_0641

Mwanamuziki wa nyimbo za asili za Kabila la Kigogo, Msafiri Zawose akiimba kwa kutumia  zeze maarufu la Kabila hilo katika shoo yao ya ufunguzi   wa Tamasha la Karibu Music Festival msimu wa pili lililoanza jana Novemba 6.2015. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA] Tamasha kubwa la Kimataifa la Muziki la ‘Karibu Music Festival’ linaloratibiwa na Karibu Cultural Promotions Organization (KCPO) na Legendary Music Entertainment and Promotions...

 

10 years ago

Vijimambo

YAMOTO BAND YAWASHA MOTO LONDON

Yamoto Band wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Peter Kalage kwenye usiku wa onesho la Mkubwa na Wanae (Yamoto Band) siku ya Jumamosi Februari 21, 2015 jijini London nchini Uingereza wapili toka kushoto ni mratibu wa safari ya wasanii hao Bi. Jestina George.Mkubwa na Wanae (Yamoto Band) wakishambulia jukwaa huku shabiki akishindwa kujizuia nae akienda smbamba na wasanii hao jukwaani siku ya Jumamosi Februari 21, 2015 jijini London...

 

9 years ago

Mtanzania

Video ya ‘Ya moto band’ yagharimu milioni 30

Yamoto2-11NA MELCKZEDECK SIMON

VIDEO mpya ya ‘Cheza Kimadoido’ ya kundi la muziki wa kizazi kipya ‘Ya moto Band’ imegharimu zaidi ya Sh milioni 30 za Tanzania.

Meneja mkuu wa kundi hilo lenye maskani yake Temeke jijini Dar es Salaam, Saidi Fella, alisema video hiyo imeandaliwa na kampuni ya Godfather nchini Afrika Kusini na gharama hiyo ndiyo iliyoleta ubora wa video hiyo anayoamini itafanya vizuri kimataifa.

 

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani