Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAPASO: Mimi ni mwanzilishi wa Yamoto Band na Mkubwa Fella — Mh. Temba

Inawezekana wewe ni shabiki wa Yamoto Band, lakini ukawa haufahamu kuwa Mh temba wa TMK Wanaume Family ni miongoni mwa watu waliowatengeneza vijana hao ambao mwaka huu wamefanikiwa kwenda Uingereza kufanya show kwa mara ya kwanza. Akizungumza kupitia kipindi cha Papaso cha TBC Fm kinachoongozwa na D’Jaro Arungu na kurushwa pia kupitia TBC 1, Temba […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Huu ndo ushauri aliopewa mkubwa Fella kuhusu kuwalinda yamoto band na wamama wa mjini.

kazi nzuri sana Mkubwa Felaaaa, ila muombe Mungu sana hawa watoto wasihadaike na mashangingi ya mjnii maana watakumalizia watoto, wamama wakianza yao tu, utaona vijana wako wamebadilika mara viburi, kuchelewa kazini, nk, omba sana ndugu maana nimeshasikia mdada mmoja kajivutia wake watuu wabayaaa jamani daah, ngoja tuendelee kufanya uchunguzi tuje na data kamili maana huwa hatutoi habari za uzushi, ila kama ni kweli wewe dada msanii unafanya hivyo acha, muachie mtoto wa watu jamaniii khaa si...

 

9 years ago

Michuzi

MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ameweza kutoa zao la vijana wengine kutoka Mkubwa na Wanawe ambao wanafanya muziki wa Taarab na kuwabariki jina la Moyo Band, band hii imechanganya wanawake na wanaume na kwa mala ya kwanza itatambulishwa siku ya Ijumaa ya tarehe 11 pale Dar Live wakati Yamoto Band wakizindua Chupa lao jipya ambalo limefanyika SA Cheza kwa Madoido. Zaidi msikilize Saidi Fella Akielezea......

 

10 years ago

Bongo5

Said Fella kumuomba Rais Kikwete kuzindua nyumba za kisasa alizowajengea Yamoto Band

Said Fella kupitia kampuni yake ya Mkubwa na Wanawe Youth Centre, anawajengea nyumba za kisasa wasanii wanne wa kundi la Yamoto Band na anataka Rais Jakaya Kikwete azizindue! Kwa mujibu wa Fella nyumba hizo zinazojengwa kwenye eneo moja zitakamilika mwezi July na wasanii hao kukabidhiwa kila mmoja ya kwake. Kupitia post yake ya jana ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Fella asifia kazi mpya zijazo za Yamoto Band, ‘zikitoka utasema ni kali kuliko ulizowahi kuzisikia’

Mkurugenzi wa Yamoto Band amefunguka kwa kusema kuwa Yamoto Band hawabahatishi kwenye kazi zao, huku adai kuwa kazi mpya zinazokuja ndo zitadhihirisha uwezo mkubwa wa kuimba na kutunga. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni Fella alisema kuna nyimbo ambzo zikitoka watanzania watahisi Yamoto Band ndo inaanza upya. “Tuna nyimbo nyingi ambazo zipo tayari na zikitoka leo […]

 

10 years ago

GPL

TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO

Amani Temba 'Mhe. Temba'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la TMK Wanaume Family, Amani Temba 'Mhe. Temba' leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Yamoto Band. Sherehe hiyo itafanyika leo saa 3 usiku katika Ukumbi wa Equator Grill ulioko Mtoni jijini Dar ambapo burudani zitashushwa kutoka kwa Tmk Wanaume Family, Tip Top Connection, Mashauzi Classic na Yamoto Band. … ...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: YAMOTO BAND "MKUBWA NA WANAWE" ft. ZENA - MAMA (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani