East Africa Vibes Concert yafana Dar: Eric Omondi, Sarabi Band, Leo Mkanyia na Grace Matata wafunika
Wanamuziki wa bendi ya SARABI kutoka Kenya, ikishambulia jukwaa usiku wa jana Agosti Mosi, wakati wa shoo East Africa Vibes Concert iliyofanyika Nafasi Art Space, Mikocheni. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)
Na Andrew Chale
(Kinondoni-Dar es Salaam) Usiku wa Agosti Mosi ulikuwa ni ya kipekee kwa wadau wa burudani na vichekesho ndani ya Afrika Mashariki baada ya kushuhudia muziki wenye vionjo halisi kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wa Afrikaa Mashariki ndani ya ukumbi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R4vNK17xbzE/VbCefzLZ6EI/AAAAAAAAGrA/6zj-7nEILPg/s72-c/eavc.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fxQlWgj-wvo/VbjWI5ojzbI/AAAAAAAAGrk/95moUOuDoSg/s72-c/leo%2B3.jpg)
ERIC OMONDI KUVUNJA MBAVU ZA WAKAZI DAR JUMAMOSI HII, KUSINDIKIZWA NA SARABI BAND, LEO MKANYIA NA GRACE MATATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fxQlWgj-wvo/VbjWI5ojzbI/AAAAAAAAGrk/95moUOuDoSg/s640/leo%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o30VEK-kgXY/VbjWUpwUnPI/AAAAAAAAGrs/yVS_igG0R-o/s640/ERIC.jpg)
10 years ago
MichuziEric Omondi alivyovunja mbavu za mashabiki kwenye onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015
10 years ago
VijimamboPICHA: ERIC OMONDI ALIVYOVUNJA MBAVU ZA MASHABIKI KWENYE ONYESHO LA EAST AFRICA VIBES CONCERT (EAVC) 2015
10 years ago
TheCitizen07 Aug
Eric Omondi: East african comedy has Taken giant strides
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s72-c/IMG-20141109-WA0013.jpg)
LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s1600/IMG-20141109-WA0013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-irrnSlxNqH8/VF_bkX3ZjOI/AAAAAAAAqBI/8brxAJF5SME/s1600/IMG-20141109-WA0020.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-k8x_EBnWfrE/VTDAe4gywBI/AAAAAAADimU/1E4WJuRLp0U/s72-c/Ngoma%2BAfrica%2BBand%2BOn%2BAction%2Bin%2BGermany.jpg)
The Ngoma Africa Band - East Africa´s golden voices and most wanted Band
![](http://3.bp.blogspot.com/-k8x_EBnWfrE/VTDAe4gywBI/AAAAAAADimU/1E4WJuRLp0U/s1600/Ngoma%2BAfrica%2BBand%2BOn%2BAction%2Bin%2BGermany.jpg)
Ngoma Africa Band with it´s more than two decades experience and encounter with diverse cultures and audiences which has marked it´s success in the music and entertainment industry.
The secret of Ngoma Africa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-3H8saXKV_Q/default.jpg)
9 years ago
Bongo531 Dec
Video: Eric Omondi – Je Utanipea
![eric-omondi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/eric-omondi-300x194.jpg)
Mchekeshaji maarufu Africa mashariki Eric Omondi kutoka Nchini Kenya ameachia Video yake alio ifanyia remix nyimbo ya Diamondplatnumz kaimba Eric kabadilisha kutoka “Je Utanipenda” na Kuwa “Je Utanipea? akimanisha kuwa Je demu wake atampa?
Ikumbukwe kuwa Erick alisha fanya remix nyimbo ya nasema nawe ya Diamond na kuwa “Nabeba Mawe”.