Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ERIC OMONDI KUVUNJA MBAVU ZA WAKAZI DAR JUMAMOSI HII, KUSINDIKIZWA NA SARABI BAND, LEO MKANYIA NA GRACE MATATA

Mchekeshaji maarufu Eric Omondi na bendi ya muziki ya SARABI kutoka Kenya wataungana na wanamuziki wa Tanzania Grace Matata na Leo Mkanyia na bendi yake ya Swahilli Blues kukonga nyonyo za mashabiki wa muziki na vichekesho jijini Dar es Salaam wakati wa onyesho la muziki jumamosi wiki hii.Onyesho hilo ambalo limeandaliwa na CDEA:“Culture and Development East Africa” kwa kushirikiana na Nafasi Art Space litafanyika jumamosi ya tarehe moja mwezi wa nane mwaka huu, kuanzia saa moja jioni mpaka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

East Africa Vibes Concert yafana Dar: Eric Omondi, Sarabi Band, Leo Mkanyia na Grace Matata wafunika

DSC_2289Wanamuziki wa bendi ya  SARABI kutoka Kenya, ikishambulia jukwaa usiku wa jana  Agosti Mosi, wakati wa shoo  East Africa Vibes Concert iliyofanyika Nafasi Art Space, Mikocheni. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)

Na Andrew Chale

(Kinondoni-Dar es  Salaam) Usiku wa  Agosti Mosi ulikuwa ni ya kipekee kwa wadau wa burudani na vichekesho ndani ya Afrika Mashariki baada ya kushuhudia muziki wenye vionjo halisi kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wa Afrikaa Mashariki   ndani ya ukumbi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Eric Omondi alivyovunja mbavu za mashabiki kwenye onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015

Mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya akifanya manjonjo yake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015 lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res SalaamMshairi Neema Komba, kutoka La poetista akifannya ushairi wake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015, lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res SalaamGrace Matata, akitumbuiza wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015, lililofanyika siku...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA: ERIC OMONDI ALIVYOVUNJA MBAVU ZA MASHABIKI KWENYE ONYESHO LA EAST AFRICA VIBES CONCERT (EAVC) 2015

Mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya akifanya manjonjo yake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015 lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res Salaam.Picha zote na Pamoja BlogMshairi Neema Komba, kutoka La poetista akifannya ushairi wake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015, lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res SalaamGrace Matata, akitumbuiza wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert...

 

10 years ago

Vijimambo

LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND

 Leo Mkanyia alipata mwaliko kutoka Nottingham University hili kushiriki kwenye tamasha la kuraise awareness juu ya Ebola. Leo akiwa chuoni hapo aliimba wimbo alioupa jina la "Pamoja' wimbo huo wa pamoja aliupiga kwenye tamasha hilo kwa kushirikiana na Nottingham Academy Choir. Wimbo huo pia alipata nafasi ya kurekodiwa na utakuwa tayari kwa kusambanzwa kwenye vituo vya radio hapa nchini.

  Hapa Leo akiimba wimbo huo wa pamoja na wanafunzi wa chuoni hapa kama unavyoona pembini Profesa...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Video: Eric Omondi – Je Utanipea

eric-omondi

Mchekeshaji maarufu Africa mashariki Eric Omondi kutoka Nchini Kenya ameachia Video yake alio ifanyia remix nyimbo ya Diamondplatnumz kaimba Eric kabadilisha kutoka “Je Utanipenda” na Kuwa “Je Utanipea? akimanisha kuwa Je demu wake atampa?
Ikumbukwe kuwa Erick alisha fanya remix nyimbo ya nasema nawe ya Diamond na kuwa “Nabeba Mawe”.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia...

 

10 years ago

Mwananchi

Eric Omondi hana hamu na ‘Watizedi’

Nairobi, Kenya. Mchekeshaji maarufu jijini Nairobi na Afrika Mashariki, Eric Omondi amepokea vitisho kutoka kwa Mtanzania, akimtaka aache kuandika maoni yake kwenye picha za mpenzi wake.

 

10 years ago

Vijimambo

Height Of Endorsement As Eric Omondi Gets An Mpesa Tattoo On His


We all know that Eric Omondi has been hitting the gym to get his dream body, but did you know he is also into tattoos? Well if you didn’t then now you know.
The comedian just posted a photo of his dream body tatted up with some crazy tattoos including an Mpesa one. No kidding, the actors photo shopped chest will make many ladies thirst over it but with the Mpesa ink it’s quiet hard to tell.
Anyway, corporates seem to be going that extra mile just to capture your attention,huh. Well checkout...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani