ERIC OMONDI KUVUNJA MBAVU ZA WAKAZI DAR JUMAMOSI HII, KUSINDIKIZWA NA SARABI BAND, LEO MKANYIA NA GRACE MATATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fxQlWgj-wvo/VbjWI5ojzbI/AAAAAAAAGrk/95moUOuDoSg/s72-c/leo%2B3.jpg)
Mchekeshaji maarufu Eric Omondi na bendi ya muziki ya SARABI kutoka Kenya wataungana na wanamuziki wa Tanzania Grace Matata na Leo Mkanyia na bendi yake ya Swahilli Blues kukonga nyonyo za mashabiki wa muziki na vichekesho jijini Dar es Salaam wakati wa onyesho la muziki jumamosi wiki hii.
Onyesho hilo ambalo limeandaliwa na CDEA:“Culture and Development East Africa” kwa kushirikiana na Nafasi Art Space litafanyika jumamosi ya tarehe moja mwezi wa nane mwaka huu, kuanzia saa moja jioni mpaka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
East Africa Vibes Concert yafana Dar: Eric Omondi, Sarabi Band, Leo Mkanyia na Grace Matata wafunika
Wanamuziki wa bendi ya SARABI kutoka Kenya, ikishambulia jukwaa usiku wa jana Agosti Mosi, wakati wa shoo East Africa Vibes Concert iliyofanyika Nafasi Art Space, Mikocheni. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)
Na Andrew Chale
(Kinondoni-Dar es Salaam) Usiku wa Agosti Mosi ulikuwa ni ya kipekee kwa wadau wa burudani na vichekesho ndani ya Afrika Mashariki baada ya kushuhudia muziki wenye vionjo halisi kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wa Afrikaa Mashariki ndani ya ukumbi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R4vNK17xbzE/VbCefzLZ6EI/AAAAAAAAGrA/6zj-7nEILPg/s72-c/eavc.jpg)
10 years ago
MichuziEric Omondi alivyovunja mbavu za mashabiki kwenye onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015
10 years ago
VijimamboPICHA: ERIC OMONDI ALIVYOVUNJA MBAVU ZA MASHABIKI KWENYE ONYESHO LA EAST AFRICA VIBES CONCERT (EAVC) 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s72-c/IMG-20141109-WA0013.jpg)
LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s1600/IMG-20141109-WA0013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-irrnSlxNqH8/VF_bkX3ZjOI/AAAAAAAAqBI/8brxAJF5SME/s1600/IMG-20141109-WA0020.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-3H8saXKV_Q/default.jpg)
9 years ago
Bongo531 Dec
Video: Eric Omondi – Je Utanipea
![eric-omondi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/eric-omondi-300x194.jpg)
Mchekeshaji maarufu Africa mashariki Eric Omondi kutoka Nchini Kenya ameachia Video yake alio ifanyia remix nyimbo ya Diamondplatnumz kaimba Eric kabadilisha kutoka “Je Utanipenda” na Kuwa “Je Utanipea? akimanisha kuwa Je demu wake atampa?
Ikumbukwe kuwa Erick alisha fanya remix nyimbo ya nasema nawe ya Diamond na kuwa “Nabeba Mawe”.
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Eric Omondi hana hamu na ‘Watizedi’
10 years ago
Vijimambo30 May
Height Of Endorsement As Eric Omondi Gets An Mpesa Tattoo On His
![](http://niaje.com/wp-content/uploads/2015/02/Eric-Omondi.jpg)
We all know that Eric Omondi has been hitting the gym to get his dream body, but did you know he is also into tattoos? Well if you didn’t then now you know.
The comedian just posted a photo of his dream body tatted up with some crazy tattoos including an Mpesa one. No kidding, the actors photo shopped chest will make many ladies thirst over it but with the Mpesa ink it’s quiet hard to tell.
Anyway, corporates seem to be going that extra mile just to capture your attention,huh. Well checkout...