Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhudumu wa hoteli afa ghafla

MUHUDUMU wa hoteli ya Hunters jijini Dar es Salaam Rose Mfuje (26) amefariki dunia ghafla baada ya kupata maumivu ya tumbo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi alikiri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSANII AFA GHAFLA!

Stori: Hamida Hassan Msiba! Bado bundi wa vifo anaendelea kung’ang’ania tasnia ya sinema za Kibongo kufuatia kifo cha ghafla cha msanii wa Bongo Muvi, Mariam Juma ‘MC Chimamy’ ambaye amefariki dunia ghafla baada ya kupatwa na kifafa cha mimba, ugonjwa uliomkuta muda mfupi kabla ya kujifungua. Msanii wa Bongo Muvi, Mariam Juma ‘MC Chimamy’ enzi za uhai wake. Mauti hayo yalimkuta MC Chimamy...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi ujenzi afa ghafla

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti akiwemo fundi ujenzi, Robert Simon (30), mkazi wa Buguruni, aliyekufa katika mazingira ya kutatanisha. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi seremala afa ghafla

FUNDI seremala, Ally Abdallah (33), mkazi wa Pugu amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla maeneo ya Buguruni Bakhressa jijini Dar es Salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

CloudsFM

SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI

Sheikh mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini, Bakari Mketo amefariki dunia ghafla makaburini mara baada ya kuswalisha swala ya mazishi katika makaburi ya Nonde jijini na mkoani Mbeya jioni ya jana.
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...

 

9 years ago

Mwananchi

ZARA BEDEL : Muhudumu wa ndege aliyejikita kwenye mitindo

 Ilinichukua muda kuamini kuwa ninayemuona mbele yangu ndiye aliyenihudumia wiki moja iliyopita, nikiwa ndani ya ndege kuelekea Unguja.

 

5 years ago

Michuzi

RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA

Na Mwandishi Wetu,Michuzi Globu ya jamii

MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.

Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo  ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...

 

9 years ago

MillardAyo

Exclusive ya Shilole: Allivyoolewa na dereva wa Lori, alivyokuwa Muhudumu Hotelini na alivyoagizwa kumtongoza Ray.

Kutana na Exclusive Interview ya mwimbaji wa bongofleva ambaye anatupa stori zake zote, za jinsi alivyokuja mara ya kwanza Dar es salaam baada ya kuolewa na dereva wa Lori akitokea Igunga pamoja na ishu nyingine, tazama hizi video mbili hapa chini kuna part 1 na 2. PART TWO YA VIDEO NDIO HII HAPA CHINI Unataka […]

The post Exclusive ya Shilole: Allivyoolewa na dereva wa Lori, alivyokuwa Muhudumu Hotelini na alivyoagizwa kumtongoza Ray. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

MISS TZ AFARIKI GHAFLA

Stori: Imelda Mtema
KWELI kifo hakina huruma jamani! Mshiriki wa Miss Tanzania 2013 akitokea Miss Ilala, Martha Gewe, mkazi wa Tabata Segerea, Dar amefariki dunia baada ya kuugua ghafla, Ijumaa Wikienda linakupa zaidi.
Martha amekutwa na mauti katika Hospitali ya Mkoa wa Ilala, Amana jijini Dar es Salaam, Ijumaa iliyopita ambako alikimbizwa baada ya kuugua na madaktari walibaini kwamba, malaria ilipanda kichwani. Marafiki wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkutano wa wauguzi wasitishwa ghafla

Mkutano mkuu wa Chama cha Wauguzi Tanzania (Tana), uliokuwa unaendelea mjini Bukoba umesitishwa chini ya ulinzi wa polisi, ikiwa ni siku moja baada ya viongozi wao kutoa tamko linalotaka kuwapo kwa mabadiliko katika sekta ya afya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani