Muhudumu wa hoteli afa ghafla
MUHUDUMU wa hoteli ya Hunters jijini Dar es Salaam Rose Mfuje (26) amefariki dunia ghafla baada ya kupata maumivu ya tumbo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi alikiri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5miokYxpuUEfSTACUNrwff601e3yJPIxYqDlQR69XgdYHMMiZVSncmNx2aUo95gs4DBYd*awCvURxer5-Z1YFAlE/msaniikifo.jpg)
MSANII AFA GHAFLA!
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Fundi ujenzi afa ghafla
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti akiwemo fundi ujenzi, Robert Simon (30), mkazi wa Buguruni, aliyekufa katika mazingira ya kutatanisha. Kamanda wa Polisi Mkoa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Fundi seremala afa ghafla
FUNDI seremala, Ally Abdallah (33), mkazi wa Pugu amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla maeneo ya Buguruni Bakhressa jijini Dar es Salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kamanda wa Polisi...
10 years ago
CloudsFM27 Nov
SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...
9 years ago
Mwananchi27 Dec
ZARA BEDEL : Muhudumu wa ndege aliyejikita kwenye mitindo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Exclusive ya Shilole: Allivyoolewa na dereva wa Lori, alivyokuwa Muhudumu Hotelini na alivyoagizwa kumtongoza Ray.
Kutana na Exclusive Interview ya mwimbaji wa bongofleva ambaye anatupa stori zake zote, za jinsi alivyokuja mara ya kwanza Dar es salaam baada ya kuolewa na dereva wa Lori akitokea Igunga pamoja na ishu nyingine, tazama hizi video mbili hapa chini kuna part 1 na 2. PART TWO YA VIDEO NDIO HII HAPA CHINI Unataka […]
The post Exclusive ya Shilole: Allivyoolewa na dereva wa Lori, alivyokuwa Muhudumu Hotelini na alivyoagizwa kumtongoza Ray. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0noUKa0jDnm8zlWzQNEETqOkc2eGCIaOep1fhOOPGr7lITwGDJ1-XPR6TOQBzGh2vgRlHmoPa4O9TMIXzTvgiLr/miss.jpg)
MISS TZ AFARIKI GHAFLA
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mkutano wa wauguzi wasitishwa ghafla