Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS TZ AFARIKI GHAFLA

Stori: Imelda Mtema
KWELI kifo hakina huruma jamani! Mshiriki wa Miss Tanzania 2013 akitokea Miss Ilala, Martha Gewe, mkazi wa Tabata Segerea, Dar amefariki dunia baada ya kuugua ghafla, Ijumaa Wikienda linakupa zaidi.
Martha amekutwa na mauti katika Hospitali ya Mkoa wa Ilala, Amana jijini Dar es Salaam, Ijumaa iliyopita ambako alikimbizwa baada ya kuugua na madaktari walibaini kwamba, malaria ilipanda kichwani. Marafiki wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwakilishi afariki ghafla Zanzibar

>Mnadhimu wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM), Salmin Awadh Salmin (57) amefariki dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

RC Mara afariki dunia ghafla

>Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla kutoka kwenye kiti alichoketi wakati akishiriki Kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Tarime.

 

11 years ago

GPL

YULE MTOTO ALIYETESEKA AFARIKI DUNIA GHAFLA

Mtoto Suleiman Rajab enzi za uhai wake. Na Imelda Mtema
MASKINI! Yule mtoto Suleiman Rajab aliyeteseka muda mrefu akisumbuliwa na uvimbe mkubwa mguuni huku mamia ya Watanzania wakijitolea kuchanga fedha kwa ajili ya matibabu nchini India amefariki dunia ghafla nyumbani kwao Ukonga-Kivule, Dar. Akizungumza kwa masikitiko makubwa baada ya kifo hicho, baba mzazi wa marehemu, Rajab Upinde alisema kwamba mtoto wake huyo hakuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Paroko Kanisa Katoliki afariki dunia ghafla

BAADHI ya waamini wa Kanisa Katoliki la Bikira Maria wa Fatma mjini Geita, wameshitushwa na taarifa za kifo cha Paroko wa Parokia ya Geita, Padri Henry Kimisha aliyefariki dunia ghafla...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasisi afariki ghafla kwa 'rafiki' yake

Kasisi mmoja mashuhuri nchini Kenya alizimia na kufariki katika hali ya kutatanisha nyumbani kwa mwanamke ambaye sie mke wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea udiwani Kata ya Uyole CCM afariki ghafla

Chama cha Mapinduzi Jimbo la Mbeya Mjini kimepata pigo baada ya mgombea wake wa Kata ya Uyole,  Kambi Njela kufariki dunia ghafla.

 

11 years ago

GPL

MWIGIZAJI NA SHOGA MAARUFU WA NOLLYWOOD NIGERIA AFARIKI GHAFLA

Mwigizaji maarufu Charles Warren enzi za uhai wake. Mwigizaji maarufu Charles Warren ambaye ni shoga anayeigiza sinema katika tasnia ya sinema ya Nollywood nchini Nigeria amefariki ghafla alhamisi iliyopita majira ya usiku katika Hospitali moja jijini Lagos nchini Nigeria. Charles Warren alifariki ghafla wakati akiifanya mapenzi (akimegwa) na mwenzake aliyetajwa kwa jina la Ajah ambapo ghafla alianza kulalamika maumivu ya kiuno...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mpiga gitaa Skylight Band Chiri Challa afariki ghafla

10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n

Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.

Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.

Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo  Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na...

 

11 years ago

GPL

MPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI GHAFLA‏

Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa (pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili. Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo. Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo, Aneth Kushaba AK47 ugonjwa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani