Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fundi afa kwa shoti ya umeme

FUNDI magari, Mohamed Athuman (52), mkazi wa maeneo ya Wandengereko, Mtoni-Mtongani, Dar es Salaam, amefariki dunia juzi kutokana na hitilafu ya umeme katika waya wa chaji ya simu. Kamanda wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo

                     Hii ndio breaker liyoungua na kusabibisha maeneo ya mjini Ubguja kukosa umeme leo


 Mafundi kutoka ZECO wakiwa katika harakati za kutengeneza panel iliyoleta hitilafu za umeme na kupelekea maeneo yote ya mji wa Unguja kukosa umeme


Baada ya kukamilika kwa matengenezo


Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...

 

11 years ago

Habarileo

Afa kwa kunaswa na umeme kazini

MFANYAKAZI wa kiwanda cha MCL kilichopo Temeke, Joseph Fedolini (40), amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme wakati akiwa kazini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema kifo hicho kilitokea jana usiku katika kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Chang'ombe Viwandani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi ujenzi afa ghafla

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti akiwemo fundi ujenzi, Robert Simon (30), mkazi wa Buguruni, aliyekufa katika mazingira ya kutatanisha. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi seremala afa ghafla

FUNDI seremala, Ally Abdallah (33), mkazi wa Pugu amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla maeneo ya Buguruni Bakhressa jijini Dar es Salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fundi radio afa baada ya kuzidiwa gesti

FUNDI radio maarufu mjini hapa, Daniel Mosha (53), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mkoa baada ya kuugua ghafla akiwa anafanya mapenzi na mwalimu mmoja katika nyumba ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pombe yamuua fundi umeme

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti yaliyotokea juzi jijini Dar es Salaam, likiwemo la fundi umeme aliyekutwa chumbani kwake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kindondoni, Camilius Wambura ,...

 

10 years ago

Mwananchi

Fundi anayetengeneza baiskeli kwa uaminifu (2)

Kabla ya kujitosa kwenye ushonaji wa viatu, Bupe aliwahi kujikita zaidi kwenye ajira ya ufundi baiskeli katika eneo la Machimbo, Jet-Lumo iliyopo Gongo la Mboto ikiwa ni sehemu ya kujiimarisha zaidi kiuchumi baada ya kuyumba kwa shughuli zake.

 

10 years ago

GPL

KIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA

Mwendesha bodaboda akiendelea kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira katika eneo la Mlimani City jijini Dar es Salaam,  juzi jioni ambapo alidaiwa kumpora mkoba dada mmoja na kujaribu…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afa kwa kujinyonga

MKAZI wa Yombo, Baraka Nyaulo (20), amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia mkanda wa begi alioutundika kwenye kenchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibeth Kiondo, alisema jana kuwa Nyaulo aliyekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani